Nimeota ndoto ya kutisha sana: Alipomaliza tu kuchangiwa ukaja mtafaruku mbaya sana

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ukweli mimi sio muota ndoto maarufu sana wala sio mbashiri ila usiku wa leo nimeota kumetokea mtafaruku mkubwa sana, uliosababishwa na mtu aliyechangiwa gari na wanachama kwa mapenzi ya dhati kabisa kuamua kukaa pembeni.

Zaidi ya hayo nikaona anga lililo juu ya yule ndugu lina moshi rangi ya zambarau, huku akifuatwa na kundi kubwa la wachangiaji, wengine wakitaka kudai chao na wengine wakitamani lile wingu liwafunike

Kabla sijaona kitakachoendelea nikaamka usingizini na kumbe naota ila ule mtafaruku ulinihuzunisha sana
 
Nilishawahi kuota ndoto ya hivo nikagundua nilikuwa nimebanwa MAVI!!

Wewe mwenzangu HUKUJINYEA
 
Tafuta Pesa, soma vitabu walau uendane na username yako.
 
Sawa Kakojoe sasa urudi kulala , kuna wenzio walipanga hadi ratiba ya mazishi na msafara utapita wapi ila cha ajabu mwenyekiti wa kikao kile sasa hivi imebaki mifupa tu 😗
 
Tafuta hela bro uache kuota ndoto za kimaskini
 
Huyo aliyefunikwa Na wingu la zambarau Ni Mcha Mungu Sana Na ana Kibali cha ukuu,utawala ndani yake
 
Hizo ramli chonganishi,mbona hukuota ule mtafaruku wa ukaribisho wa gereji😝
 
Sio kwamba umeota anayechangiwa pesa za fomu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…