FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Na ndoto yako itimie ikiwa Vise VersaNilipata mshtuko mkubwa nikiwa ndotoni, yaani clearly kabisa nimeona Uganda ikitandikwa 4 bila tena za haraka haraka zile za bandika bandua. Kila la kheri taifa stars na ndoto hii iwe kweli..!
Coming from zero IQ, sishangaiNa ndoto yako itimie ikiwa Vise Versa
CC Zero IQ
Tugawane majukumu, we ombea cape verde basi, au sio..Kuombea stars kushinda ukaisahau kuiombea cape Verde nayo ni kutwanga maji kwenye kinu.....
ndoto yakutisha au yakufraisha??Nilipata mshtuko mkubwa nikiwa ndotoni, yaani clearly kabisa nimeona Uganda ikitandikwa 4 bila tena za haraka haraka zile za bandika bandua. Kila la kheri taifa stars na ndoto hii iwe kweli..!
Nilipata mshtuko mkubwa nikiwa ndotoni, yaani clearly kabisa nimeona Uganda ikitandikwa 4 bila tena za haraka haraka zile za bandika bandua. Kila la kheri taifa stars na ndoto hii iwe kweli..!
Mhh,nilidhani jambo la maana kumbe inahusu watu wanaofukuza lingozi.Nilipata mshtuko mkubwa nikiwa ndotoni, yaani clearly kabisa nimeona Uganda ikitandikwa 4 bila tena za haraka haraka zile za bandika bandua. Kila la kheri taifa stars na ndoto hii iwe kweli..!
Itakuwa kwrli ki hivi MSALABA 0 UGANDA 5Nilipata mshtuko mkubwa nikiwa ndotoni, yaani clearly kabisa nimeona Uganda ikitandikwa 4 bila tena za haraka haraka zile za bandika bandua. Kila la kheri taifa stars na ndoto hii iwe kweli..!
Mkuu we hujaitwa kwenye kamati yetu pendwa nini?Mie kuepusha mmoja wa Jamaa yangu kukesha Bar naombea litokee la kutokea Pombe siziuzwe nusu bei
Mimi siombei yeyote,Mimi mwenyewe Nina shida zangu natakiwa kujiombea.....Tugawane majukumu, we ombea cape verde basi, au sio..
DuuhMimi siombei yeyote,Mimi mwenyewe Nina shida zangu natakiwa kujiombea.....