Aisee hongera sna ngoja tuanze kupanga foleni mie kwa kwanza nishawahiii:love::love:
Think like a Man of ACTION and act like a Man of THOUGHTSi masihara bali ni ukweli mtupu, nimeoteshwa kutoa tiba ya kuramba kijiko kimoja tu cha mti unaoitwa mgaagaa kwa ajili ya kutibu matatizo yote yanayohusiana na mapenzi yakiwa pamoja na:- kupata ujasiri wa kutongoza, kwenda round nyingi, kuchelewesha round, kuleta hamu ya tendo la nanihino, mvuto, kupata mchumba, kupata mume/mke, kuachwa kwa wanaotaka, kumpa mpenzio limbwata, kuondoa limbwata-yaani kila kitu;( kijiko kimoja nimeambiwa nitoze gharama ya sh. 999 kwa watanzania na sh. 9999 kwa wasio watanzania) lakini huenda bei ikapanda kutegemea na mahitaji. Just ni-PM
asiwaze kama mtu anayepara miwa like Mohamed ShossiThink like a Man of ACTION and act like a Man of THOUGHT
asiwaze kama mtu anayepara miwa like Mohamed Shossi
Mcqokozi wewe ngoja aje mwenyeweasiwaze kama mtu anayepara miwa like Mohamed Shossi
Jiandae kuona punchlines.Marytina acha uchokozi!
martiyna ulimuona shossi akiparamiwa?au unaropoka tu,take care!asiwaze kama mtu anayepara miwa like Mohamed Shossi
Aisee hongera sna ngoja tuanze kupanga foleni mie kwa kwanza nishawahiii:love::love:
so we ni ambilikile au nan?
hongera m nataka kupunguza hamu ya ngono inakaaje?
dah...haya wandugu, ngoja niwahi kabla bei haijapanda...ila sijui tatizo langu ni lipi kati ya hayo ilioyataja..maana kwa maelezo yako kuna ya kujenga mahusiano/mapenzi na kubomoa mapenzi. sasa sijui sijui umeoteshwa na mungu wa mbinguni au wa duniani..haya mkuu twende kazi
Mcqokozi wewe ngoja aje mwenyewe