Nimeoteshwa juu ya dawa za mapenzi

Jina lenyewe "Chamajani"
 
sIO MaHALI PAKE HAPA,ILI NI JAMVI LA MMU.utani na uDAKU NI JUkwaa jingne.
 
Naomba kazi ya kusafisha vijiko wakishakunywa.
 
Why jamani unaambiwa hivo ulimkosea nini?

We acha BB watu wana bifu za kipuuzi halafu hata hawafamiani lakini mimi wote nimeshawasoma nakuwajua tabia zao.
Martyina kapigwa Ban jana nadhani kwa ishu ya kumtusi Mudi Shossi.
 

Mhhhh! Haya dawa ya mapenzi hiyo Wanajamii! Kila la heri Mkuu na dawa yako usisahau pia kuitangaza nchi za nje ukajikusanyia madollar kibao.


YouTube - Jeremih x 50 Cent - "Down On Me" - 3D Version
 
wengine kupm mtihani tuelekeze tuje kupata kikombe hiko tuondoe nuksi za ,mnukanuka:disapointed:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…