Hapa kuna vitu viwili kwa Samaki
Mfupa,au Mwiba,licha ya kwamba vyote watu wanaita mfupa
Ila ungeweka wazi kama ni Mfupa au Mwiba.
Ila kama ni mfupa nakuomba nenda Hospitali
Kama ni Mwiba basi tumie njia hizo hapo juu
Sitaki kukutisha ila mie Mtoto wa Mwanzo wa Dada yangu alikufa kwa tatizo hilo baada ya kuzembea kwa wiki nzima hadi usaha ukaanza kujaa shingoni,na kufanyiwa operation akafariki at age of 20yrs