Nimepambana na nyati live

wakuu jana nilipambana na nyati ana kwa ana pale mikumi, nilikua mikumi nabadili tairi la gari ghafla akanizukia ndipo pakatimka vumbi, nyati ni kifo usiombe uingie kwenye 18 zake, cha ajabu nilishinda fight na nyati akatimua mbio
sio nyati ni kamnyama kanakoitwa FUNGO !
 
nyati ana muda wa kulizungukia gari anapiga gari na wewe upande iliopo utajua kumbe sasa nimekutana na mbogo...Simba na nguvu zake zoote hamuwezi wewe na 58kg umsumbue tena ujifiche katika Passo..
 
Nimeanza kupata picha! K 4 Real Ni Alikiba anajiitaga hivyo! Na yeye si Ndio anajifanya balozi wanyama! Kuna uwezekano Huyu Mkuu akawa Ndio Alikiba!

By the way ulipata msg yangu kuhusu ule wimbo umeimba Na wale wakenya?
 
wakati mwingine yatupasa kukusoma nyuzi zako kimyakimya k 4 life na tupite kimyakimya! kama hivi! πŸ™‚..πŸ™‚...πŸ™‚...
 
Labda km kuna toleo jipya la nyati mungu ameleta....!
 
Ni nyati wako wangap kupambana nae Mkuu
 
,
daah mkuu nyati pamoja na sura yake mbaya kiac kile ila akakukimbia mkuu? umetisha sanaa aisee
 
Aya tumekusikia tuma Salam zako kwa watu watatu
 
Nyati mnyama au nyati dawa ya nguvu za kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…