Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 640
- 1,141
Ni katika harakati za kujenga nyumba ya ndoto tangu.
Iko hivi....nina kipato cha kawaida sana. Nikeshajenga nyumba ambayo ni sehemu ya nyumba kubwa. Nyumba tarajali ina floor moja. Kwa sasa naishi kwenye sehemu ya jingo existing building
Naiota kila uchao. Katika ujenz ulioisha nilikiwa nikipata 6 mil naiweka katika mradi huu. Hadi nimekamilisha japo ujenzi hauishi lkn madam naishi kwangu. Namshukuru mungu.
Katika ujenz huu bado sijakamilisha kwa 100% hadi pale nyumba 3 sitting study room vitakapokuwa vimesimama. Nyumba ina ukubwa wakawaida ndio maana hainitishi.
Mkwako upo hivi.... nilidhani nilivyohamia kwangu mambo yatakimbia lkn ni kinyune chake..
Sitataka inikute nimestaafu. Niingeze pesa ya kustaafia? Au niache kizaz kikihangaika kumalizia jingo.
Wakuu huu ndio mtihani kwangu
Iko hivi....nina kipato cha kawaida sana. Nikeshajenga nyumba ambayo ni sehemu ya nyumba kubwa. Nyumba tarajali ina floor moja. Kwa sasa naishi kwenye sehemu ya jingo existing building
Naiota kila uchao. Katika ujenz ulioisha nilikiwa nikipata 6 mil naiweka katika mradi huu. Hadi nimekamilisha japo ujenzi hauishi lkn madam naishi kwangu. Namshukuru mungu.
Katika ujenz huu bado sijakamilisha kwa 100% hadi pale nyumba 3 sitting study room vitakapokuwa vimesimama. Nyumba ina ukubwa wakawaida ndio maana hainitishi.
Mkwako upo hivi.... nilidhani nilivyohamia kwangu mambo yatakimbia lkn ni kinyune chake..
Sitataka inikute nimestaafu. Niingeze pesa ya kustaafia? Au niache kizaz kikihangaika kumalizia jingo.
Wakuu huu ndio mtihani kwangu