Nimepangiwa Chuo Ila Kunadalili Za Kutosoma!!!

Joined
Aug 11, 2012
Posts
76
Reaction score
3
Ni Kutokana Na Bifu ambalo Baba yangu Mzazi amelitengeneza Tangu askie kuwa Nimepangiwa Bachelor of Arts in
Public Relations and Marketing at
St. Augustine University of
Tanzania
anadai Niachane Nayo eti Niombe Mweka Mwakani....je Sikuoneana tu Huku!!!
 
Huyo Baba yako kama alikuwa ana mpango wa wewe kusoma Mweka kwa nini asingekuambia mapema?Lakini bado una nafasi ya kujadiliana nae, mtaka cha uvunguni ndugu yangu....!Angalia Chuo kisikukosanishe na Baba yako,mkae muongee, kama unaipenda hiyo kozi ya SAUT endelea kumshawishi.Kila la kheri
 
Heh Baba anatengeneza bifu kweli pole zinakuhusu kaka, ongea nae mtaelewana tu!
 
Aiseee baba yangu huyo baba yaako kaishia langapi??? Ili 2kushauri vizuri
 

yapp ndio Hapo Sasa....na Kinachoniuma Zaidi Mweka coz za Degree ni Dolla 3800 na zaidi....
sasa mi Nadhani Ananipiga Sound Ili Asinisomeshe Kabisa ...
 
Endelea kumshawishi mdogo wangu usikate tamaa,tumia hata rafiki zake
 
duuh pole kaka kwanza hali ya uchumi home ukoje? Isijekuwa umechaguliwa kozi ambyo haina mkopo and then dingi anatumia iyo chance ku-diverge !!
 
mh..kaka jua kwamba atakaye soma sio baba ni wewe!! lakin jiulize umependa program uliyopangwa? kama umepende na uliapply loan nenda kasome! ni vyema kumskiza baba lakin ni vyema zaid kuuskiza MOYO WAKO hasa kwenye maswala kama haya ambayo yatakua na impact kubwa sana kwenye future yako! binafsi nimechaguliwa sua lakin ni wachache sana walioniunga mkono katika uchaguz wangu wa sua,ila mimi hainipi tabu maana ntakae soma si wao bali ni mimi!
itakua rahisi sana hata kama mambo yakiwa magum hapo saut wewe ku-overcum kwa kutafuta solution kuliko mambo yatavyokua magum mweka ambapo mda mwingi utaishia kujilaum wewe na baba ako ikiwa yeye ndo amekulazimisha kwenda kusoma kitu ambacho hupendi(japo sina hakikakama unapenda au la)
NARUDIA TENA NI VYEMA KUMSKIZA BABA AKO ILA NI VYEMA NA BUSARA ZAID KUUSKIZA MOYO WAKO KATIKA HILI SWALA!!.....nawasilisha wana JF...
 

Dogo unatafuta umaarufu kwa bidii khaaaa!! Unataka ufike saut huku celeb tayari? Maana tangu uchaguliwe we ni daily unapost khs your selection humu ndani!! Ungepata Princeton si ndo tungekoma?

Sasa mzee wako si ni family issue why don‘t you solve it hukohuko au ongea na family members na ndugu wakusaidie kusolve?

Hapo ni saut, je Ungekua unaenda Harvard au Yale au any ivy league si ndo ungejionesha kwenye tv na kwa shigongo kabisa?
 
mh..kaka jua kwamba atakaye soma sio baba ni wewe!! lakin jiulize umependa program uliyopangwa? kama umepende na uliapply loan nenda kasome! ni vyema kumskiza baba lakin ni vyema zaid kuuskiza MOYO WAKO hasa kwenye maswala kama haya ambayo yatakua na impact kubwa sana kwenye future yako! binafsi nimechaguliwa sua lakin ni wachache sana walioniunga mkono katika uchaguz wangu wa sua,ila mimi hainipi tabu maana ntakae soma si wao bali ni mimi!
itakua rahisi sana hata kama mambo yakiwa magum hapo saut wewe ku-overcum kwa kutafuta solution kuliko mambo yatavyokua magum mweka ambapo mda mwingi utaishia kujilaum wewe na baba ako ikiwa yeye ndo amekulazimisha kwenda kusoma kitu ambacho hupendi(japo sina hakikakama unapenda au la)
NARUDIA TENA NI VYEMA KUMSKIZA BABA AKO ILA NI VYEMA NA BUSARA ZAID KUUSKIZA MOYO WAKO KATIKA HILI SWALA!!.....nawasilisha wana JF...
 
mh..kaka jua kwamba atakaye soma sio baba ni wewe!! lakin jiulize umependa program uliyopangwa? kama umepende na uliapply loan nenda kasome! ni vyema kumskiza baba lakin ni vyema zaid kuuskiza MOYO WAKO hasa kwenye maswala kama haya ambayo yatakua na impact kubwa sana kwenye future yako! binafsi nimechaguliwa sua lakin ni wachache sana walioniunga mkono katika uchaguz wangu wa sua,ila mimi hainipi tabu maana ntakae soma si wao bali ni mimi!
itakua rahisi sana hata kama mambo yakiwa magum hapo saut wewe ku-overcum kwa kutafuta solution kuliko mambo yatavyokua magum mweka ambapo mda mwingi utaishia kujilaum wewe na baba ako ikiwa yeye ndo amekulazimisha kwenda kusoma kitu ambacho hupendi(japo sina hakikakama unapenda au la)
NARUDIA TENA NI VYEMA KUMSKIZA BABA AKO ILA NI VYEMA NA BUSARA ZAID KUUSKIZA MOYO WAKO KATIKA HILI SWALA!!.....nawasilisha....
 
siwezi kukupinga..ila umejiuliza ni kwanini kaja humu jf kuomba msaada..nadhan hata kama usingeandika kitu usingepungukiwa kitu..mshauri kama huwezi kausha..,kashfa na akumdhihaki mtu katika hali hii hufanywa na watu wasio na akili timamu...
 
LORDVILLE leo umekunywa kinywaji gani? Mbona unashuka point sana? Au ulilala na nani usiku wa kuamkia leo? Je umepigia mswaki maji ya dukani? Au dawa ya meno ilikua na virutubisho gani? Duh endelea hivyo hivyo Sua watakupa kacheo hata kau-CR. Ha ha ha ha ha ha hah. Big up jibaba. . . . .
 
Last edited by a moderator:
Dogo ana mikosi mingi sana kwanza alianza na kupangiwa bachelor of engineering na makorokocho wakati amesoma arts sasa amekuja na hili la mzee mkubwa khaaa!!!...inabidi uairishe mwaka msikilize dingi tu kabla mikosi haijaendelea..
 
hahahahahahaha....ajuaye mungu...tuwe na imani kwan huo ndo wajib wetu...
 
babako anahela kweli ili uende mweka uingie lazima uwe na mahela ya maana kweli nyie washua..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…