ndupa JF-Expert Member Joined Jan 25, 2008 Posts 4,403 Reaction score 148 Aug 23, 2012 #21 fidelis zul zorander said: Dogo ana mikosi mingi sana kwanza alianza na kupangiwa bachelor of engineering na makorokocho wakati amesoma arts sasa amekuja na hili la mzee mkubwa khaaa!!!...inabidi uairishe mwaka msikilize dingi tu kabla mikosi haijaendelea.. Click to expand... je hiyo ndo solution??? na kwanini amskize dingi?? asipomskiza itatokea nini??
fidelis zul zorander said: Dogo ana mikosi mingi sana kwanza alianza na kupangiwa bachelor of engineering na makorokocho wakati amesoma arts sasa amekuja na hili la mzee mkubwa khaaa!!!...inabidi uairishe mwaka msikilize dingi tu kabla mikosi haijaendelea.. Click to expand... je hiyo ndo solution??? na kwanini amskize dingi?? asipomskiza itatokea nini??