Allencharles17
New Member
- May 30, 2024
- 1
- 0
Jaman nisaidieni kimawazo hapa mm nimefaulu kwenda advance lakin nimepangwa kwenye kombi ya HGL na mm sitaki kusoma HGL nataka nisome CBG na nimefaulu hesabu kwa grade "c" na komb ya CBG imebalansi kabisa.
Sijui nifanyaje hata naombeni ushauri wenu tafadhali
Sijui nifanyaje hata naombeni ushauri wenu tafadhali