Jamani mwenzenu nimepangwa Songea (V). Kwa aliyepangwa Iringa (V) na hana interest napo tubadilishane wakuu coz nimepazoea sn kwa sasa. Msaada kwa hl pls!!!
Omba usipangwe matimila sec au mhukulu. ni kubaya mno ila shule zingine kuzuri. Mimi mwenyewe nilikuwa darajambili sek.
Kwa sasa niko mbunga sek-namtumbo
Jamani mwenzenu nimepangwa Songea (V). Kwa aliyepangwa Iringa (V) na hana interest napo tubadilishane wakuu coz nimepazoea sn kwa sasa. Msaada kwa hl pls!!!