Nimepata 3 ya 25 kidato cha nne mwaka 2013 naweza chaguliwa kidato cha tano?

Nimepata 3 ya 25 kidato cha nne mwaka 2013 naweza chaguliwa kidato cha tano?

Ndondocha mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
2,490
Reaction score
2,965
Kama kchwa cha habar kinavyoeleza mimi n mwanafunz nilyemalza kidato cha nne mwaka jana na kupata 3 ya 25 je naweza chagulwa kidato cha tano au vyuo vya tek?
 
Kama kchwa cha habar kinavyoeleza mimi n mwanafunz nilyemalza kidato cha nne mwaka jana na kupata 3 ya 25 je naweza chagulwa kidato cha tano au vyuo vya tek?

Inategemea ulifaulu vp katika masomo yako na pia ufalu wa jumla wa mwaka jana upoje.

Ungeweka alama ulizopata katika kila somo iwe rahisi kusaidiwa.
 
Matokeo yangu n haya "engl b,kisw b,math b+,chem c,geo c,phy d,bio c, civ e, hst d. Na nilianza na egm.
 
Hapo ni kujianda tu kwenda form 5 bila wasiwasi.
 
Mi nakushauri ukachukue comb ya sayansi tofauti na hapo art haina soko
 
Matokeo yangu n haya "engl b,kisw b,math b+,chem c,geo c,phy d,bio c, civ e, hst d. Na nilianza na egm.

Dogo, kaa na Wazazi/Walezi wako na uongee nao kama ni waelewa wa mambo haya. Kwa ushauri wangu, wa moyoni kabisa, potezea High School. Nenda Tech. - DIT, MIST, n.k., nk., au Vyuo vya Afya/Tiba kwa Kozi za CO, n.k. n.k!

High School za kwetu siku hizi michosho mitupu!
 
Dogo, kaa na Wazazi/Walezi wako na uongee nao kama ni waelewa wa mambo haya. Kwa ushauri wangu, wa moyoni kabisa, potezea High School. Nenda Tech. - DIT, MIST, n.k., nk., au Vyuo vya Afya/Tiba kwa Kozi za CO, n.k. n.k!

High School za kwetu siku hizi michosho mitupu!

bro me nilianza na tek hapo mist ila nawasiwasi kama naweza chaguliwa.
 
bro me nilianza na tek hapo mist ila nawasiwasi kama naweza chaguliwa.


Ndondocha Hawawezi kukuchagua mana umefeli Chemistry ! Wao wanataka hivi

Physics = A, B+, B, C
Chemistry = A, B+, B, C
Mathematics = A, B+, B, C

Hivyo Selikali haiwezi kukulipia mkopo !

Hivyo basi kama kweli ulikuwa na nia !

Nenda ka apply pale ! Utaingia nadhani direct entry mana english imekubeba !

Ila ada ni pesa ndefu kidogo !

Maisha Mtelezo
 
Dogo, kaa na Wazazi/Walezi wako na uongee nao kama ni waelewa wa mambo haya. Kwa ushauri wangu, wa moyoni kabisa, potezea High School. Nenda Tech. - DIT, MIST, n.k., nk., au Vyuo vya Afya/Tiba kwa Kozi za CO, n.k. n.k!

High School za kwetu siku hizi michosho mitupu!
ushauri mzuri mkuu
 
Sio lazima kila mtu asome A level, tubadilisheni twende hata vyuoni kupata diploma
 
Ndondocha Hawawezi kukuchagua mana umefeli Chemistry ! Wao wanataka hivi

Physics = A, B+, B, C
Chemistry = A, B+, B, C
Mathematics = A, B+, B, C

Hivyo Selikali haiwezi kukulipia mkopo !

Hivyo basi kama kweli ulikuwa na nia !

Nenda ka apply pale ! Utaingia nadhani direct entry mana english imekubeba !

Ila ada ni pesa ndefu kidogo !

Maisha Mtelezo
ila mbona hyo chemisty nina c bro? Afu english imenbeba kvp?
 
Wajamani je mimi niliepata hii
III 30
CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'F' nitapona kweli ndugu zangu,hebu nami mnijuze wadau.
 
Wajamani je mimi niliepata hii
III 30
CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'F' nitapona kweli ndugu zangu,hebu nami mnijuze wadau.

private sifa unazo 100% for government 80% unaweza ukapata
 
Back
Top Bottom