Nimepata ajali Tandale...

Nimepata ajali Tandale...

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Nilikuwa nawinda kuku wa kiswahili....
2.jpg.
 
utakuwa ulikuwa unashangaa mwanamke mwenye sit cover wewe Boflo umenikumbusha mbali sana mkuu kuna jamaa mmja alikuwa anatembea barabarani na mkewe kule kigamboni uswazi wakakutana na mwanamke anainye balaa jamaa likawa linageuka kushangaa kumbe mkewe alikuwa ashashtuki akakanyaga msumariukaingia wote mguuni ,basi yul\ke jamaa ni kilema mguu mpaka leo alikuwa mvuvi .
 
Kwa hiyo umefurahia...na unakunywa sijui beer ama....? nilitegemea usikitike kwa sababu ajali yoyote ni uzembe ama wako ama aliyekuchomekea...na ungetusaidia tuwe waangalifu ama wewe mwenyewe uwe mwangalifu.............!!
 
Subiri uipate kweli uone kama utakunja 4 na kupiga kinywaji huku ukitabasam.
 
Yaani upate ajali halafu umekunja 4 huku unakunywa Pepsi bila masikitiko? Kweli ww ni Boflo!
 
Back
Top Bottom