Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

Niko tayal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakupiga bao me sina elimu zaidi ya kujua kisoma na kuandika lakini nacheza kibati cha elfu 30 kwa siku kwa mwezi laki 9 sikatwi kodi afu apo nshawaachia hom elf 10 kla siku hacha kujisifia iyo sio hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahhaahhaa... meseji sent! Na promo uliojipigia naimani watakufuata inbox

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Hizi ID mpya sio za kuamini, umetoswa ukituma meseji hazijibiwi umeamua uje na njia mbadala, na hapa umewashika

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Umetisha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume wa kitanzania akipata visenti tu, kinachofata ni mke!
Mbona hiyo 1.2 ni kiduchu sana.


Any way, all the best mkuu!

- KANA -
Kwani kuoa inatakiwa uwe na sh ngapi
 
hicho kigezo cha chini kabisa naon weng ndo kinawapeleka chaka ila utapata boy subiria tu
 
Mzee gross ya 1.2M unatafuta mke? Next post tutasikia umepatwa na pressure tukuombee..
 
Wewe ni mtu wa ajabu sana yaani unaoa kwa sababu ya mshahara wa 1.2m jee mkataba wa kazi hiyo ukiisha utamuacha?
 
Kwa hiyo ukiachishwa kazi aondoke acha ujinga mshahara ni sehemu tu kuoa kuna mengi si kwakua una mshahara tu
 
Dunia inaenda kasi sana, ambapo maana ya ndoa imebadilishwa kabisa! Unaweza kuona ni kwanini ndoa za vijana wengi hivi sasa zinavunja usiku wa honeymoon au siku ya birthday ya kwanza tangu mfunge ndoa.
Natamani vijana ambao hawajaingia kwenye ndoa wakatafakari vitu zaidi ya hivi. Upendo ni jambo kubwa na sio mali. Aisee tunajenga ndoa kwenye misingi ya mali ulizonazo, sasa hii ni ndoa au unatafuta business partner au unatafuta make/mume. Umewahi kujiuliza siku ukiondolewa job kwa kuwa na vyeti feki utaishije na huyu uliyemleta kwa sababu ya mshahara?
Umewahi kujiuliza ikitokea ukaugua kwa mwaka mzima bila kwenda kazini, je huyu unayemleta kwa sababu ya mshahara au makalio yake au kwa sababu ni handsome boy/man atakuwepo muda wote huo?
Umepata kilema na makalio hayaonekani je bado utakuwa na thamani kwa Hugo handsome boy wako?
Kama unatafuta mume/mke basi ni vyema sifa za makalio, weupe, hips, uhendisamu vikawa sio sehemu. Ndoa inaanza siku mnapotoka honeymoon, siku mkeo anaamka bila makeup, siku mkeo anaamka hajatengeneza makalio yake vzr, siku mumeo anarudi amefukuzwa kazi, siku mumeo amepata ulemavu wa kudumu, siku ambapo daktari anawaambia kuwa kwa hali ya mmoja wenu hamuwezi kupata mtoto.
Ndoa inaendelea siku ambapo unamfumania mkeo/mumeo, siku unakuja mama na mkeo kuna ugomvi n.k.
Tunapaswa kutibu mambo mengi kwenye vichwa vyetu vijana wa kike na kiume la sivyo kila siku itakuwa ni kuoa na kuachika mwisho wa siku hakuna unachofurahia katika maisha. Unabaki wewe ni wa kutimiwa tu na watu tofauti na tukichoka hakuna hata anayekuita hata kidate na kiben ten hakuna hata kama ni bure.
 
1.2m tu? Ni kama vile umeona hiyo hela ni kubwa sana. Wenzio wanapata mshahara 150,000 kwa mwenzi walishaoa wana watoto na maisha yanasonga.
 
HUSNA THE BOSS LADY ...A.K.A ERICK MJARUO LEO UNATAFUTA MWANAMKE ????



bado JF inakukumbuka kwa umafia wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…