Hiyo ni battery saver haina madhara wala tatizoKuna hako ka Pembe tatu karibu na Bar za Network naomben Kujua zinamaanisha nn maana nimejaribu kuzitoa nimeahindwa
Nina wasiwasi isijeikawa wameni track
View attachment 3180486
Ww n nani hapa Tanzania mpaka wakudukue?Kuna hako ka Pembe tatu karibu na Bar za Network naomben Kujua zinamaanisha nn maana nimejaribu kuzitoa nimeahindwa
Nina wasiwasi isijeikawa wameni track
View attachment 3180486
Oyaaaa acha ufwalaaaaa basi 🤣🤣🤣Ww n nani hapa Tanzania mpaka wakudukue?
Ndo hvy, sasa unaogopa kudukuliwa wakati mali ya thamani kubwa unayomiliki ni Tecno pop 5 😂Oyaaaa acha ufwalaaaaa basi 🤣🤣🤣
Kwan wasiojulikana wanaanzaje MkuuWw n nani hapa Tanzania mpaka wakudukue?
Khaaa we jamaa mazereu hayoNdo hvy, sasa unaogopa kudukuliwa wakati mali ya thamani kubwa unayomiliki ni Tecno pop 5 😂
Hahha naya nyatia mkuuFreemason hao,subiri upokee mamilioni yako ili uanze kula maisha.