nimepata idea ya ujasiriamali, naomba muisome...arafu naomba ushauri na mawazo yenu..

nimepata idea ya ujasiriamali, naomba muisome...arafu naomba ushauri na mawazo yenu..

poul

Member
Joined
Apr 21, 2013
Posts
56
Reaction score
17
inahusu elimu ya kompyuta...nimefikiria kwamba kila mtu kwa sasa anahitaji kujua matumizi ya kompyuta kulingana na uitaji wa dunia ya leo, but kwa sababu fulani fulani sio wote ambao wanaweza kwenda vyuoni kusoma. hii inatokana na labda kuwa bize na kazi au wengine umri umekwenda wanaona nouma kwenda vyuoni na wengine ni watoto bado. sasa hapo ndo huduma yangu inapoingia... 1. kuwafundishia majumbani 2. kuwafundishia sehemu zao za kazi...ushauri na mawazo na nyongeza yenu wadau.
 
litakulipa ukilisimamia vyema..hasa wazee wa maofisini ndo wana mkwanja wa maana.. I did it once.........
 
... mawazo yako ni mazuri ila changamoto ninazoziona apo ni jinsi ya kutumia ivo vifaa yaaan computer kwan kuna ofisi zingine aziruhusu vifaa kama ivo vya kutoka nje kuingia ndani kupunguza risk za infromatiion likage ila idea ni nzuri sana
 
wazo ni zuri kama umeamua jaribu inamaana unaujuzi wa kutosha..kila raheli...changamoto ni kawaida kwa mjasiliamali
 
Tengeneza videos and demos then unaziuza kwenye cd's. This will save ur time and increase maximum income.
 
ila usijeingia majaribuni na kutaka kubaka wateja wako
 
Back
Top Bottom