Mkuu nenda mikoani kuna fursa nyingi za kiuchumi mambo ya kuganda Dar ni ushuzii mtupu hakuna lolote la maana zaidi ya joto kali,foleni,starehe za kijinga,.
Kombo usidanganye watu bwana, jina lako laonesha Dar es Salaam ni kwako au watoka jirani na hapo. Waache watu wakalete maendeleo nje ya Dar.
sasa kama hakufai unataka nani akafanye kazi huko,kama sio mm na ww,...kwani huko dar mbona kuna kero kibao,..foleni,joto,maji ya chunvi na bado shida etc,...kama ni mawe nipigeni bana mmezidi usharobaro usio na maana
acha mtazamo hasi wewe laki mbili hiyo ni mshahara wa mtu! kwani Dar ni mbinguni? kwanza kwa mtu anayejua hakuna mji mbaya saizi kama Dar hata uwe na gari lako ni sawa tu na aliye huko meatu kwani mifolen kero za kila namna
haya Bwana ni mtizamo tu..mie hiyo tofauti ya mshahara haikunivutia hata kidogo labda kama anaenda kuwa mdokozi wa mali ya umma
Mtu anayelipwa milioni moja Dar na anayelipwa milioni moja mkoani, nakuhakikishia wa mkoani baada ya miaka 2 ana nyumba na gari na maisha yake mazuri. Mkoani unakodisha nyumba nzima nzuri haizidi hata laki na nusu, gharama za vyakula n.k. zipo chini kulinganisha na Dar na isitoshe kule anapata na muda wa kufanya shughuli nyingine za kumuongezea kipato. Maana kazini unaenda saa 2 asubuhi na saa 9 tayari upo free, sio Dar uamke saa 11 kuwahi foleni na hata kama unatoka kazini saa 9 basi utafika nyumbani saa 12 jioni!!
habarini JF
nipo dms nafanya kazi kampuni fulani ya simu.nimepata kibarua kingine kwenye kampuni nyingine ya simu kwa tofauti ya mshahara ya laki 2...i mean ya mkoani imezidi kwa laki 2 mshahara wa apa dar..........wananipa na gari ya kazi!!hardbody...lakini bado naona ugumu kuenda huko meatu...nishaurini niende au nibaki?
Tofauti ya mshahara ni ndogo sana kulingana na utavoenda kusota mkoani, baki dar