hata ingekuwa mie mbulu matusi ya nini??kuna tabia sticky kwa kabila????????Lazima utakuwa unamatatizo wewe, na usitumie uchagga kama ngao yako wachaga hawako hivyo mama, wewe hujui mapenzi na ukiendelea hivyo tunakupoteza soon kwahiyo kila kitu hela, basi olewa na bank kama jamaa alipo sema hapo juu. Jiulize ukiolewa na aliyekuzidi, baada ya muda ukamzidi tena utaachana nae? Wewe limbukeni wa mishahara. Pole sana. mshara baadhi ya makampuni unapandishwa kila mwaka so kila mwaka bwana mpya? wewe lazima ni mbulu, hamvai chupi nyie.
Kwanini hupendi uliyemzidi? Mi nataka nipate ninayemzidi nimpelekeshe hadi aone dunia chungu!!
Lazima utakuwa unamatatizo wewe, na usitumie uchagga kama ngao yako wachaga hawako hivyo mama, wewe hujui mapenzi na ukiendelea hivyo tunakupoteza soon kwahiyo kila kitu hela, basi olewa na bank kama jamaa alipo sema hapo juu. Jiulize ukiolewa na aliyekuzidi, baada ya muda ukamzidi tena utaachana nae? Wewe limbukeni wa mishahara. Pole sana. mshara baadhi ya makampuni unapandishwa kila mwaka so kila mwaka bwana mpya? wewe lazima ni mbulu, hamvai chupi nyie.
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu
Dah... sitaki kuamini km naota au ni kweli, anyways acha nijipe moyo kuwa ni kweli
Ila sasa dada yangu huo uamuzi wa kuamua kukumbatiwa na mtu anaekuzidi pesa mbona naona si mzuri!!!!!!!
Pesa huwa inatafutwa tu huwezi kujua huyo unaemwacha kesho atakua nani. Kwani nani alijua km wewe leo ungekua na cheo na mshaara mzuri kuliko huyo bf wako wa sasa? naamini km wewe ungejua hivo basi usingekua nae. Vp ukiachana nae halafu mambo yake yakawa mazuri baada ya muda kidogo? samahani sikuombei mabaya lakini ebu naomba ufikirie km ikitokea kwa bahati mbaya tu (samahani sio lengo langu) mshahara huo ukapungua au ukaachishwa kazi mambo yatakuwaje?
kuna uzi niliusoma hapa kuhusu dada wa sua aliyemwacha mnyarwanda na kuolewa na college mate wake baadae mnyarwanda akabahatika kuwa waziri, dada amebakia kujuta. Nakushauri ukae chini ufikirie kuhusu huo uamuzi wako please,
I am sure kwa uamuzi huo ipo siku utajuta tu japo hutasema lakini ipo siku utakumbuka haya nisemayo
Nakutakia kila la heri
Thanks
@arusha, baba mngoni, mama mchagga
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.
Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.
Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu
@arusha, baba mngoni, mama mchagga
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.
Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.
Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu
Leo nimejifunza kitu hapa, maji ya ugali nayo yaonjwa ati!.
Dah..hiki kizazi,naona woote wanaoshauri kama wanacheza tu...kuna msemo wa kiswahili: Samaki mkunje angali mbichi...huyu ameshakauka mnahangaika bure...
Niwakumbushe tu alishawahi kuja hapa ili tumsaidie mawazo.Kwamba kuna mdogo wa rafiki yake anahitaji pesa ya ada wakati huo huo kuna mjeshi anamtaka kimapenzi...kwa hiyo anahitaji rubber stamp yetu ili huyo mwanafunzi atembee na kanali apate mshiko wa kulipia ada...unajua mwisho wa ile story alisemaje? " anachotaka huyo binti ni pesa sio ushauri"
@arusha, baba mngoni, mama mchagga
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.
Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.
Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu
dau la kuku halimpati mweweAngali sana dada pesa haina rafiki wa kudumu,inaweza kuondoka kwako na kwenda kwa unayemdharau,alafu ukabaki unashangaa tu.
@arusha, baba mngoni, mama mchagga
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.
Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.
Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu
siyo dua la kuku, anamaanisha ufikilie wangapi walikuwa wana pesa na leo hawana na wangapi walikuwa hawana pesa na leo wanazo.dau la kuku halimpati mwewe
i always side in a safe sidesiyo dua la kuku, anamaanisha ufikilie wangapi walikuwa wana pesa na leo hawana na wangapi walikuwa hawana pesa na leo wanazo.