Wadau ktk muda ambao sikutarajia nimepata mil 10 kutokana na mikopo kwa wafanyakazi niliopewa na benki yangu kama mfanyakazi - sikutegemea kabisa japo nilikuwa natafuta fedha hizi muda mrefu.
Sasa nataka niende Morogoro ninunue mchele kisha niweke ktk Godown halafu nitauza bei ikipanda. Kwa sasa ndo wazo nililo nalo. Je, kuna mtu mwenye wazo bora kuliko hilo? Au je biashara hii ina changamoto gani?
Je, huko kwenye godown kuko salama?
Je, hakuna uwezekano wa bei kutopanda?
Niliwahi kufanya biashara ya namna hii Upande wa Mahindi huko Arusha miaka mingi. Sina uzoefu wa mchele. Naombeni ushauri wenu.
Sasa nataka niende Morogoro ninunue mchele kisha niweke ktk Godown halafu nitauza bei ikipanda. Kwa sasa ndo wazo nililo nalo. Je, kuna mtu mwenye wazo bora kuliko hilo? Au je biashara hii ina changamoto gani?
Je, huko kwenye godown kuko salama?
Je, hakuna uwezekano wa bei kutopanda?
Niliwahi kufanya biashara ya namna hii Upande wa Mahindi huko Arusha miaka mingi. Sina uzoefu wa mchele. Naombeni ushauri wenu.