Nimepata Msiba WanaJF

Sipo

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2008
Posts
2,139
Reaction score
95
Ndugu wana JF leo mchana nimepata msiba
 
Mkuu sipo pole sana kwa msiba. Msiba uko wapi? Tupo pamoja kwa sala katika kipindi hichi kigumu, naamini Mungu atakupa nguvu na Hekima ya kumaliza salama.
 
pole sana, jipe moyo ukamilishe shughuli za msiba na uwe jasiri ili kuendelea na maisha, kila mmoja wetu anayo siku yake, hivyo hiyo ndo njia yetu sote.
 
Pole sana kwa kufiwa na babu, mungu akupe nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu. Hasa ukizingatia wote tupo safarini ila yeye ametutangulia.

Msiba upo wapi?
 
Dah pole sana mkuu Sipo kwa kipindi hiki kigumu. Tupo pamoja mkuu.
R.I.P babu wa Sipo
 
Pole sana mkuu, Mungu akupe nguvu hekima na busara ili uweze kuomboleza na baadae kusahau kwani ukizidi kuendelea kukumbuka hautapata nguvu ya kufanya lolote tena. Tuko pamoja mkuu japo sio kimwili bali kiroho tupo pamoja.
 
Pole sana Sipo kwenye kipindi hiki kigumu
 
my condolosence sipo (aka alibi), mbele yake nyuma yetu
 
Nawashukuru WanaJF kwa sapoti mnayonipa ukweli napata faraja kubwa. Asanteni
 
Sipo, pole sana! Mungu akupe nguvu na uvumilivu ya kuukabili msiba huu mzito.
 
pole sana Mwenyezi Mungu akupe nguvu katika wakati huu mgumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…