Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarizenu wanajamvi? Mimi nimepata msichana wa kikenya sema anaongea kama mwanajeshi. Hivi hawa wanafaa kuingizwa ndani kweli?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Dogo, usituzalilishe wanajeshi!
Sema demu wako anaongea kama kahaba! Swain.
Habarizenu wanajamvi? Mimi nimepata msichana wa kikenya sema anaongea kama mwanajeshi. Hivi hawa wanafaa kuingizwa ndani kweli?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Usinikumbushe machungu, mwenyewe niliwahi mpata Mkenya wababe sana alikuwa ananiamlisha kama mwanajeshi nikiwa mitaa ya Sinza yeye yupo Mbagala utasikia ananitwangia njoo haraka mi na hamu ya ngono ukichelewa na gawa kwa wengine.Habarizenu wanajamvi? Mimi nimepata msichana wa kikenya sema anaongea kama mwanajeshi. Hivi hawa wanafaa kuingizwa ndani kweli? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Dogo, usituzalilishe wanajeshi!
Sema demu wako anaongea kama kahaba! Swain.