kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Hali gani?hakika namshukuru Mungu sana, nimeangaika muda mrefu kutafuta mtaji wa kuanza biashara yangu ambayo nimekuwa nikii dream,naamini si kwa nguvu zangu.
Nimefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi 8000 pesa taslimu toka mwezi wa 1 mwaka huu. Na Jumatatu ijayo naanza biashara yangu, nitatumia miguu kutembeza bidhaa zangu(karanga) kabla ya kununua baiskeli.
Nimejifunza investment kutoka humu JF. Kongore kwenu.
Nimefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi 8000 pesa taslimu toka mwezi wa 1 mwaka huu. Na Jumatatu ijayo naanza biashara yangu, nitatumia miguu kutembeza bidhaa zangu(karanga) kabla ya kununua baiskeli.
Nimejifunza investment kutoka humu JF. Kongore kwenu.