kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Huwezi jua mazingira ya kuipata hiyo hela,jambo la msingi ni kutimiza lengo kwake ametimiza tumpongezeTangu January umepata 8,000 fala wewe?!
Sio mbaya hata mbuyu ulikuwa kama mchichaTangu January umepata 8,000 wewe?!
Hasante sanaKila la kheri mkuu
Ela ni ngumu sanaTangu January umepata 8,000 wewe?!
Kabisa, nastahiri!Huwezi jua mazingira ya kuipata hiyo hela,jambo la msingi ni kutimiza lengo kwake ametimiza tumpongeze
NikweriSio mbaya hata mbuyu ulikuwa kama mchicha
Sawa nita kuchekukifikia hatua ya kununua Baiskeli .... tafadhali nicheck
Unayo ya aina gani na unauzajeukifikia hatua ya kununua Baiskeli .... tafadhali nicheck
Naweka vochaya jero kila baada ya siku mbiriYaani watu hawapo seliasi kwa kweli
Mda wote toka mwezi wa 1 mpaka huu online JF kila siku utamwona alafu aje aseme amepata 8000 haingii hakilini ni ulimbukeni
wapo watakao mtetea ila piga hizo vocha tu fikirie ni jero mara miezi hii ni upumbavu mtupu
Kwanini?Ungebadili hilo Jina ungefikisha million 8
Kwani mnafahamiana nae mkuu? mbona umemhukumu sana huyo kijana wa watuYaani watu hawapo seliasi kwa kweli
Mda wote toka mwezi wa 1 mpaka huu online JF kila siku utamwona alafu aje aseme amepata 8000 haingii hakilini ni ulimbukeni
wapo watakao mtetea ila piga hizo vocha tu fikirie ni jero mara miezi hii ni upumbavu mtupu
Hunijui sikujuiHali gani?hakika namshukuru Mungu sana, nimeangaika muda mrefu kutafuta mtaji wa kuanza biashara yangu ambayo nimekuwa nikii dream,naamini si kwa nguvu zangu.
Nimefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi 8000 pesa taslimu toka mwezi wa 1 mwaka huu. Na Jumatatu ijayo naanza biashara yangu, nitatumia miguu kutembeza bidhaa zangu(karanga) kabla ya kununua baiskeli.
Nimejifunza investment kutoka humu JF. Kongore kwenu.
Tangu January mpaka leo ni siku 120+ so kama ni kila baada ya 2dys means ni siku 60 60×500=30kNaweka vochaya jero kila baada ya siku mbiri