habar kizazi cha mapenz
jana serikali imetoa post yangu peke yangu na imenipangia Paris na natakiwa kuripot tareh 1 Feb na niende na vyeti vyote sasa nauliza vp kuhusu lugha yakufundishia na vipi kuhusu mshahara watanilipa kwa dollars , pound au euro na kwann litoke jina langu peke Yang afu ndugu zangu mtoswe tulioteseka wote
Nenda kanye huko