Mbuzi Mzee
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 348
- 82
Asanteni wadau wote kwa kuwa pamoja kipindi chote cha kusubiria ajira,kama nilivyoandika hapo juu namshukuru Mungu kupata fursa ya kufundisha shule kongwe ya wilaya ya Ruangwa,naahidi kufundisha kwa moyo wote.
Hongera inaonekana ulisota sana mtaani jomba hii ndo serikali yetu
Asanteni wadau wote kwa kuwa pamoja kipindi chote cha kusubiria ajira,kama nilivyoandika hapo juu namshukuru Mungu kupata fursa ya kufundisha shule kongwe ya wilaya ya Ruangwa,naahidi kufundisha kwa moyo wote.
Asanteni
Moyo wa kazi baada ya miaka miwili uje kutoa ushuhuda ni kweli kazi yako unaitendea haki
Nitajitahidi nijihusishe na kilimo hicho kakaHuko bana ushindwe wewe tu kulima ufuta!! Nakutamania sana, miaka mitatu tu ya nguvu kazi then utaniambia!!
Asante mkuu....Mungu yu mwemaHongera Mkuu. Mbekenyera ni pazuri hasa kwa kujasiria mali. Mungu akutangulie.