M Msuli wa mbu Senior Member Joined May 4, 2021 Posts 146 Reaction score 485 Feb 28, 2023 #21 Kwanza hapo ujue kuna kitu anataka kutoka kwako mpe (mara nyingi huwa hawataki pesa) kaa ukijua mzungu hajengi urafiki na mwafrika kifala fala, ukimpa anacho kitaka atakuja kukupa/au kukuacha kitu Cha thamani huta kaa uamini..., Aisee.
Kwanza hapo ujue kuna kitu anataka kutoka kwako mpe (mara nyingi huwa hawataki pesa) kaa ukijua mzungu hajengi urafiki na mwafrika kifala fala, ukimpa anacho kitaka atakuja kukupa/au kukuacha kitu Cha thamani huta kaa uamini..., Aisee.
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,041 Reaction score 46,239 Mar 1, 2023 #22 Scars said: Akishajua tu kwamba we ni muafrika inatosha kumjuza kuwa wewe unashida Click to expand... ππ
Scars said: Akishajua tu kwamba we ni muafrika inatosha kumjuza kuwa wewe unashida Click to expand... ππ
crankshaft JF-Expert Member Joined Jun 12, 2019 Posts 1,427 Reaction score 3,438 Mar 1, 2023 #23 sio mpwayungu huyu??
Hoffenheim JF-Expert Member Joined Dec 25, 2022 Posts 1,077 Reaction score 2,505 Mar 1, 2023 #24 shampondo said: Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza Click to expand... Hizi tabia hata wanawake wa kiafrika wanazo. Ukimtongoza tu, utaambiwa shida zake zote mpaka nishaacha kutongoza
shampondo said: Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza Click to expand... Hizi tabia hata wanawake wa kiafrika wanazo. Ukimtongoza tu, utaambiwa shida zake zote mpaka nishaacha kutongoza
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Mar 2, 2023 #25 Kijana mleta mada, una umri gani? Naisikitikia sana Tanzania, tumekuwa taifa omba-omba.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 2, 2023 #26 Achana nae, fanya mambo mengine...
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,582 Reaction score 26,053 Mar 3, 2023 #27 shampondo said: Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza Click to expand... ππππ Shauri ako usije sema hizo comment zingine hukusoma.
shampondo said: Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza Click to expand... ππππ Shauri ako usije sema hizo comment zingine hukusoma.