Lameckjr
Senior Member
- Sep 26, 2020
- 133
- 247
Habari zenu wadau,
Jamani leo nimekuja hapa tena kwa wenye ufahamu nimepata scholarship ambayo nalipiwa 50% tu
Masters degree in supply chain management
Westford University
Mimi napaswa kujigharamikia kama usd 6500
Sasa nauliza hivi serikali haiwezi ni nipa sponsorship? Na kama inaweza je utaratibu ni upi?
Je, kama haiwezi unanishaurije?
Jamani leo nimekuja hapa tena kwa wenye ufahamu nimepata scholarship ambayo nalipiwa 50% tu
Masters degree in supply chain management
Westford University
Mimi napaswa kujigharamikia kama usd 6500
Sasa nauliza hivi serikali haiwezi ni nipa sponsorship? Na kama inaweza je utaratibu ni upi?
Je, kama haiwezi unanishaurije?