Nimepata Shambulio la Kigaidi la Kingono

Nimepata Shambulio la Kigaidi la Kingono

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Mwaka huu ndiyo nimefahamu athari za ugaidi baada ya wadada weusi 3 kuhamia kwenye apartment jirani na kwangu.

Mmoja ni mwendo wa vimini tu ana vimacho fulani hivi, mwingine ana subwoofer kubwaa halafu anavaa miwani, watatu anapenda madera.

Kwakweli wamenitoa kabisa kwenye reli, faida ninayopata kwenye shughuli zangu nagawana nao nusu.

Sina ubavu wa kuwanyima hela. Hili ni shambulio baya zaidi kunipata na sijui nachomokaje.
 
Amka ukanywe chai na mihogo...........
 
Mwaka huu ndiyo nimefahamu athari za ugaidi baada ya wadada weusi 3 kuhamia kwenye apartment jirani na kwangu.

Mmoja ni mwendo wa vimini tu ana vimacho fulani hivi, mwingine ana subwoofer kubwaa halafu anavaa miwani, watatu anapenda madera.

Kwakweli wamenitoa kabisa kwenye reli, faida ninayopata kwenye shughuli zangu nagawana nao nusu.

Sina ubavu wa kuwanyima hela. Hili ni shambulio baya zaidi kunipata na sijui nachomokaje.
Acha wehu huo
 
Mwaka huu ndiyo nimefahamu athari za ugaidi baada ya wadada weusi 3 kuhamia kwenye apartment jirani na kwangu.

Mmoja ni mwendo wa vimini tu ana vimacho fulani hivi, mwingine ana subwoofer kubwaa halafu anavaa miwani, watatu anapenda madera.

Kwakweli wamenitoa kabisa kwenye reli, faida ninayopata kwenye shughuli zangu nagawana nao nusu.

Sina ubavu wa kuwanyima hela. Hili ni shambulio baya zaidi kunipata na sijui nachomokaje.
Usipokuwa makini tutqkuchangia rambirambi mkuu
 
Kijana unatakiwa ukija hapa utuelezee jinsi ulivyo zichakata mbususu!!! Za hao majirani tunakupa muda wa wiki hilo zoezi liwelimekamilika
 
Hahaha

Hufi bana
Ukifa hauozi
Ukioza haunuki
Ukinuka ni marashi.

Motoni ndo destination
Mbinguni unaweza kuta sisi ndo tuko siti ya mbele kabisa, wokovu ni zali sio kukesha kwa tapeli mwamposa.
 
Mwaka huu ndiyo nimefahamu athari za ugaidi baada ya wadada weusi 3 kuhamia kwenye apartment jirani na kwangu.

Mmoja ni mwendo wa vimini tu ana vimacho fulani hivi, mwingine ana subwoofer kubwaa halafu anavaa miwani, watatu anapenda madera.

Kwakweli wamenitoa kabisa kwenye reli, faida ninayopata kwenye shughuli zangu nagawana nao nusu.

Sina ubavu wa kuwanyima hela. Hili ni shambulio baya zaidi kunipata na sijui nachomokaje.
Kama umeanza !

Utaitema Bandari !NGOJA tuzichange karata VIZURI!!
 
Back
Top Bottom