Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
IdiotDah hii ni hatari nadhani hadi mwaka ukiisha ntakuwa nmebaki mifupa maana huyo singo maza anapenda huo mchezo hatari mnatoka kufanya saa 1 asubuhi ikifka saa 4 tu anaanza tena kutamani rungu nikirudi tu geto jioni nae huyo kafika basi hapo lazima umchenyente na anapenda filamu za eksi kinoma.
Anawajua hadi majina tena anasema anampenda safari tiger na jada stevens, kwakwel huyo bnti wa ajabu hadi mwaka ukiisha MAMA UMUT akirudi nitakuwa nishaishiwa nguvu zote maana hili ni jini nyonya damu sio mtu, kwa siku napga wastani wa raundi 6 kwa muda tofauti tofauti.
kwaiyo unataka usaidiwe nini kijana? funguka wazee wako tupo apa kutoa msaada itapobidiDah hii ni hatari nadhani hadi mwaka ukiisha ntakuwa nmebaki mifupa maana huyo singo maza anapenda huo mchezo hatari mnatoka kufanya saa 1 asubuhi ikifka saa 4 tu anaanza tena kutamani rungu nikirudi tu geto jioni nae huyo kafika basi hapo lazima umchenyente na anapenda filamu za eksi kinoma.
Anawajua hadi majina tena anasema anampenda safari tiger na jada stevens, kwakwel huyo bnti wa ajabu hadi mwaka ukiisha MAMA UMUT akirudi nitakuwa nishaishiwa nguvu zote maana hili ni jini nyonya damu sio mtu, kwa siku napga wastani wa raundi 6 kwa muda tofauti tofauti.