WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
Wewe utakuwa ni mtu mwenye access na fedha za shirika/serikali kama cashier etc... Na pengine mmekaa na wahusika wakuu (baadhi ya mabosi) mkaja na wazo kama hilo. Mnataka ku-deviate fedha mfanye biashara ya chapchap ili mkipata faida mridishe fedha za wenyewe na faida mbaki nayo. ONYO: u/mnataka kufanya kamari mbaya sana. Ni wengi wamefanya hivyo na wakaishia kujinyonga baada ya kupata hasara ambayo hawakuitegemea. Mara nyingi mission za aina hiyo haziendi kama unavyofikiria....Nina rafiki yangu ame ni connect na mfanyabiashara fulani mkubwa.
Huyu bwana ana hard cash nyingi hivyo anakopesha bila riba toka shs 1billion to 10billion.
MASHARTI.
1. He needs between 1 -7 days to disburse the funds
2. The money should be returned within two months
3. He must gain 15% of the profit
4. He is not interested in long term investment
Msaada.
Kuna biashara gani sasa hivi inayoendelea ambayo unaweza uka inject kama 3b na kurudisha ndani ya hicho kipindi? Importation ya sukari from Brazil could be ideal ila wajanja wameshawahi.
Naomba mwenye mawazo anifahamishe
Unazijua kanuni za biashara lakini?
Fikiria yafuatayo:
Anakupa pesa na uwe umerudisha ndani ya kipindi kifupi sana na 15% ya profit!Maana yake ni kwamba amejihakikishia profit ndani ya hicho kipindi kifupi bila risk ( ukiacha risk ya kukuamini wewe).
Ukipiga hesabu utagundua wewe uliyekopeshwa umegeuzwa mradi na huyo mkopeshaji.
Watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na tuache kutaka vya rahisi - bure ni ghali sana!
Billioni tatu....
Ongea na tff
ulete manchester au barcelona
au brazil tena au argentina
au arsenal au chelsea.....
Usitake kuturusha hakuna kitu cha namna hiyo, wala mtu wa namna hiyo.Nina rafiki yangu ame ni connect na mfanyabiashara fulani mkubwa.
Huyu bwana ana hard cash nyingi hivyo anakopesha bila riba toka shs 1billion to 10billion.
MASHARTI.
1. He needs between 1 -7 days to disburse the funds
2. The money should be returned within two months
3. He must gain 15% of the profit
4. He is not interested in long term investment
Msaada.
Kuna biashara gani sasa hivi inayoendelea ambayo unaweza uka inject kama 3b na kurudisha ndani ya hicho kipindi? Importation ya sukari from Brazil could be ideal ila wajanja wameshawahi.
Naomba mwenye mawazo anifahamishe
Wewe utakuwa ni mtu mwenye access na fedha za shirika/serikali kama cashier etc... Na pengine mmekaa na wahusika wakuu (baadhi ya mabosi) mkaja na wazo kama hilo. Mnataka ku-deviate fedha mfanye biashara ya chapchap ili mkipata faida mridishe fedha za wenyewe na faida mbaki nayo. ONYO: u/mnataka kufanya kamari mbaya sana. Ni wengi wamefanya hivyo na wakaishia kujinyonga baada ya kupata hasara ambayo hawakuitegemea. Mara nyingi mission za aina hiyo haziendi kama unavyofikiria....
mkuu nipe contact zake huyu jamaa maana na shida ya capital sanaNina rafiki yangu ame ni connect na mfanyabiashara fulani mkubwa.Huyu bwana ana hard cash nyingi hivyo anakopesha bila riba toka shs 1billion to 10billion.MASHARTI.1. He needs between 1 -7 days to disburse the funds2. The money should be returned within two months3. He must gain 15% of the profit4. He is not interested in long term investmentMsaada.Kuna biashara gani sasa hivi inayoendelea ambayo unaweza uka inject kama 3b na kurudisha ndani ya hicho kipindi? Importation ya sukari from Brazil could be ideal ila wajanja wameshawahi.Naomba mwenye mawazo anifahamishe
1.Nimepitia ushuri wote uliotolewa,maoni yangu ni haya:
a)Pesa zinaweza kuwepo au zisiwepo.Halali au si halali.
b)Biashara za kurudisha 3 bil +interest zipo TATIZO:
2. RISK. Kuna risk kila mahali,sipati neno zuri la kiswahili lenye maana ya risk. Unaweza kuingia kwenye biashara yoyote lakini je?
ukizidiwa maarifa?? pesa imeondoka CHA MOTO UTAKIONA. Hata mtoa pesa nae si rahisi asijue pana risk ya hali ya juu.
HITIMISHO: NASIKITIKA KUSEMA KUWA HII NI BIASHARA KICHAA.(3 Bill in 2month. Riba 15%)
Umesomeka mkuuMkuu riba (interest) ni kile kiasi ambacho mtu analipa kutokana na mkopo wa assest ya mkopeshaji. Mara nyingi ni asilimia fulani ya pesa ulizokopa whether you make profit or loss.
Lakini according na hii contract ni kwamba jamaa atatoa 15% ya profit aliyopata (profit = faida), kwahiyo jamaa akipata hasara ni kwamba hatalipa chochote bali atarudisha pesa ya mkopeshaji (this is a kind of Joint Venture) Mkopeshwaji anatumia nguvu zake na akili yake na mkopeshaji anatoa mtaji ambapo atapata 15% ya mapato wakati mkopeshwaji atabaki na 85% (yaani watagawana faida)
Mkuu hiyo siyo riba! na hii hutolewa zaidi na mabenk ya uarabuni, tunaita Islamic Banking wao hawadai riba ila mnagawana faida utakayo pata, kama biashara haina faida basi mkopeshaji hata pata kitu. hii ndo tofauti ya riba na gawiwo la faida utakayopata.hapo pekundu.unataka hadi aandike riba ya 15% no ujue ni riba??
sasa ulikopaje hela bila kujua utafanyia nini??
me na doubt huo uwezo wa huyo jamaa kukopesha!!
Billioni tatu....
Ongea na tff
ulete manchester au barcelona
au brazil tena au argentina
au arsenal au chelsea.....
Wewe utakuwa ni mtu mwenye access na fedha za shirika/serikali kama cashier etc... Na pengine mmekaa na wahusika wakuu (baadhi ya mabosi) mkaja na wazo kama hilo. Mnataka ku-deviate fedha mfanye biashara ya chapchap ili mkipata faida mridishe fedha za wenyewe na faida mbaki nayo. ONYO: u/mnataka kufanya kamari mbaya sana. Ni wengi wamefanya hivyo na wakaishia kujinyonga baada ya kupata hasara ambayo hawakuitegemea. Mara nyingi mission za aina hiyo haziendi kama unavyofikiria....
Wakuu lets do some maths for a minute...
anakopesha from 1bn; time frame ni two months alafu atachukua 15% ya profit yenu plus initial 1bn yake...
Kwahiyo unahitaji biashara ambayo in two months sales ziwe zaidi ya 1bn (anything you make after thats you will keep 85%)
As far as I know any importation ukitumia meli kuleta mzigo ni mwezi mzima kabla ya uzembe wa pale bandarini...
Unless hizo mali utauza kwa mali kauli mtu akupe pesa wakati anasubiri bidhaa; Mkuu kwa ushauri ili kutaste the water mwambia akupe mkopo mdogo kidogo ambao kwa miezi miwili unaweza ukawa umeshauza bidhaa utakazonunua (volume ya bidhaa za 1bn ni nyingi kuziuza in two months unless unadeal na high value products)