Nimepata Tsh 3.5 milioni. Nifanye biashara gani?

Katumbasongwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
1,017
Reaction score
1,138
Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5 milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.

Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
 
Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.

Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Kama upo Town anzisha mgahawa, upike vyakula vizuri na usafi utanishukuru

USSR
 
Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.

Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Hilo neno kuchapika umekosea kuliweka hapo!!??
Manake umechapwa sana ndio ukapata hiyo 3.5 M. Tujiangalie kwenye Kiswahili jameni!?
 
Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.

Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Nunua robot la forex na VPS weka pesa litrade uvune pesa kama unafanya biashara.
mtaji tosha .
 
  1. Biashara ya Stationery
  2. Biashara ya Genge la Kisasa
  3. Biashara ya Dagaa nyama kutoka Tanga
  4. Mini Printing Office (vikombe, t-shirt, n.k)
  5. Biashara ya Kuuza Mashuka na Viatu vya kike.
Stationery ukiongezea na financial services (mpesa, sim banking, etc) ni biashara nzuri ila uwekezaji wake naona hiyo 3.5 haitatosha. Labda kama atakuta miundombinu ya hiyo biashara ipo.
 
Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.

Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Nakukabidhi frem ya mil 1.5 iliyobaki tafuta mtaji ufanye, frem itakuwa yako milele
 
Upo Mkoa gani? Interests yako ni nini?
 
App fanya biashara ya kukopesha kwa riba ndani ya miezi sita ushakuza mtaji wa kutosha, uzuri wa biashara hii soko lipo tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…