Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,138
Anzisha mgahawa wa kisasa kidogo na uweke eneo lenye mwingiliano mkubwa wa watuBaada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.
Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Kama upo Town anzisha mgahawa, upike vyakula vizuri na usafi utanishukuruBaada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.
Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Unataka ushauri kwa waingereza au waswahili?Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.
Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Ikiibiwa je hapana kwa hii bisharaNunua boda boda, kwa biashara nyingine pesa hyo bado ndogo na itaishia kulipia vibali na ushuru.
Ila inategemea na eneo ulilopo
Naona dalili za mtu kukabidhiwa umasikini kwa mwendo wa kasi,Njoo hapa maeneo ya kidimbwi nikushauri
Hilo neno kuchapika umekosea kuliweka hapo!!??Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.
Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Nunua robot la forex na VPS weka pesa litrade uvune pesa kama unafanya biashara.Baada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.
Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Stationery ukiongezea na financial services (mpesa, sim banking, etc) ni biashara nzuri ila uwekezaji wake naona hiyo 3.5 haitatosha. Labda kama atakuta miundombinu ya hiyo biashara ipo.
- Biashara ya Stationery
- Biashara ya Genge la Kisasa
- Biashara ya Dagaa nyama kutoka Tanga
- Mini Printing Office (vikombe, t-shirt, n.k)
- Biashara ya Kuuza Mashuka na Viatu vya kike.
Nakukabidhi frem ya mil 1.5 iliyobaki tafuta mtaji ufanye, frem itakuwa yako mileleBaada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.
Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
Ipo maeneo ganinakukabidhi frem ya mil 1.5 iliyobaki tafta mtaji ufanye,,,,, frem itakuwa yako milele