Hii huwaje mkuuNunua robot la forex na VPS weka pesa litrade uvune pesa kama unafanya biashara.
mtaji tosha .
Fanya biashara ya kukusanya tairi chakavu.. Kwa kila tani moja baada ya kuondoa gharama zako hutakosa 30,000 iliyosimamia ukuchaBaada ya kuchapika Sana, nimepata TSH 3.5 milioni naomba msaada nifanye biashara gani, ambayo ni simple to manage and daily return isipungue elfu kumi na tano.
Hope nimeeleweka, just starting from scratch [emoji24][emoji24]
nunua pooltable 2 ziweke seh mbili tofauti hakikisha unapoziweka unapata hesabu ya 10 per day kwahiyo ni 300000 kwa mwez x2 600000 ndani ya miezi 5 utakua usharudisha huo mtaji wako
Fanya biashara ya kukusanya tairi chakavu.. Kwa kila tani moja baada ya kuondoa gharama zako hutakosa 30,000 iliyosimamia ukucha
Bei ya pooltable ni kiasi gani mkuuNunua pooltable 2 ziweke sehemu mbili tofauti hakikisha unapoziweka unapata hesabu ya 10 per day kwahiyo ni 300000 kwa mwez x2 600000 ndani ya miezi 5 utakuwa usharudisha huo mtaji wako
Brother hii Biashara inabid utupe darasa vizuriFanya biashara ya kukusanya tairi chakavu.. Kwa kila tani moja baada ya kuondoa gharama zako hutakosa 30,000 iliyosimamia ukucha
Naomba namba yako boss tuongee vzrNunua robot la forex na VPS weka pesa litrade uvune pesa kama unafanya biashara.
mtaji tosha .
Wee wakat tu mkoani tair chakavu tunaiuza 25000 na tunanunua dar kwa tsh13000 transport5000Brother hii Biashara inabid utupe darasa vizuri
Acha upumbavuNaomba namba yako boss tuongee vzr
Hyo frem iko WP boss mkoa ganNakukabidhi frem ya mil 1.5 iliyobaki tafuta mtaji ufanye, frem itakuwa yako milele
ishauzwaHyo frem iko WP boss mkoa gan