Nimepata ujauzito kabla sijatumia dawa za kurutubisha mayai je, mimba inaweza kutoka?

Nimepata ujauzito kabla sijatumia dawa za kurutubisha mayai je, mimba inaweza kutoka?

korino

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,004
Reaction score
666
Habari zenu poleni na majukumu.

Miezi miwili iliyopita nilikwenda hospitali kuonana na Dr. wa wanawake kutokana na tatizo langu la kutopata ujauzito na vile mzunguko wangu haujakaa vizuri alinifanyia kipimo na akasema siwezipata ujauzito coz mayai yangu ni useless! ananipa dawa zakueka mzunguko sawa nitumie kwa mwez mmoja then nikipata period ile siku ya kwanza niende akanipe dawa zakurutubisha mayai ili niweze kupata ujauzito!

Nimemaliza dawa juzi nimepima nimekuta nina ujauzito, kabla hata sijatumia hizo dawa za kurutubisha mayai nina wasiwasi mimba inaweza ikatoka coz Dr.amesema mayai yangu mengi lakini hayana faida na tayari nishaharibu mimba kipindi cha nyuma! ushauri wenu drs.
 
Mkuu
Hujachelewa Rudi Hospital Kwa Doctor Wako Haraka
 
Mkuu kwanza nikuambie kuwa unakosea sana.

Ulikuwa na tatizo ukatafuta mtaalamu wa kukusaidia kulitatua. Mtaalamu amekupa maelekezo ya kitaalamu wewe unakiuka kwanini?

Fata maelekezo ya kitaalamu kwa kuwa ndio njia sahihi ya kutatua tatizo lako.
 
Rudi tu kwa Dr hakuna namna, ukajieleze ikiwezekana baada ya vipimo atajua cha kukushauri
 
Mkuu kwanza nikuambie kuwa unakosea sana.

Ulikuwa na tatizo ukatafuta mtaalamu wa kukusaidia kulitatua. Mtaalamu amekupa maelekezo ya kitaalamu wewe unakiuka kwanini?

Fata maelekezo ya kitaalamu kwa kuwa ndio njia sahihi ya kutatua tatizo lako.
Asante! Nmeenda Hosp jana nmefanya ultrasound Dr.amesema mimba IPO! Japo tumbo linaniumauma amenipa duphaston
 
Rudi tu kwa Dr hakuna namna, ukajieleze ikiwezekana baada ya vipimo atajua cha kukushauri
Nmeenda mkuu! Tumbo lmeanza kuniuma km nataka kuingia period...amenipa dawa
 
Muulize mama yako kabla hajakuzaa ww alikunywa izo dawa?tuanzie hapo kwanza
 
Endelea kutumia dawa ulizopewa. Je alikwambia utumie kwa muda gani na hiyo dalili ya kuumwa tumbo ikiendelea nenda kamwone tena kwa ushauri
 
Kimbelembele cha kukimbilia dudu kimekuponza , rudi kwa Dr haraka sana.
 
Back
Top Bottom