Nimepata ujumbe kuwa TBC imeingia ubia na Airtel TV

Nimepata ujumbe kuwa TBC imeingia ubia na Airtel TV

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Leo nimepata ujumbe toka TBC ukinijulisha kuwa niangalie kombe la dunia kupitia Airtel Tv kwa kutumia simu yangu!

Airtel ni kampuni ya biashara ya mawasiliano ya simu, je, TBC inapoitangazia biashara kwa kupitia ujumbe mfupi kwenye simu nayo inalipwa? Na TBC imeipataje namba yangu ya simu.
 
Leo nimepata ujumbe toka TBC ukinijulisha kuwa niangalie kombe la dunia kupitia Airtel Tv kwa kutumia simu yangu!

Airtel ni kampuni ya biashara ya mawasiliano ya simu, je, TBC inapoitangazia biashara kwa kupitia ujumbe mfupi kwenye simu nayo inalipwa? Na TBC imeipataje namba yangu ya simu.
Hata mimi wakati wa Sensa nilijiuliza Rais Samia alipataje namba yangu ya simu?
 
Serikali Ina hisa kadhaa au Kuna namna flani Airtel na serikali wanamahusiano. Kuna kipindi miundombinu ya Zain/ Celtel na TTCL ilitumika Kwa pamoja.
 
Serikali Ina hisa kadhaa au Kuna namna flani Airtel na serikali wanamahusiano. Kuna kipindi miundombinu ya Zain/ Celtel na TTCL ilitumika Kwa pamoja.
Naona unaandika huku hauna uhakika, labda ondoa neno "au".
 
Naona unaandika huku hauna uhakika, labda ondoa neno "au".

Kwakua mambo yanabadilika. Umesahau Airtel walikua wakitoa gawio Kwa serikali? Sasa ikiwa mambo yamebadilika si haya maelezo yatakua batili?

Nikutolee mfano mdogo tu, nchi yetu ni ya kijamaa au kibepari?
 
Back
Top Bottom