matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kulifananisha taifa na mama ni mbinu za kisaikolijia kulivunja morali.
Sijui chanzo cha sisi Watanzania kujiita MAMA TANZANIA au MOTHER LAND BADALA YA FATHER LAND
Tumuige Putin kuiita nchi yetu BABA TANZANIA. AU TUTUMIE NENO FATHERLAND BADALA YA MOTHERLAND.
SABABU ZANGU
1: Mama ni mwanamke, na kimaandiko ya Imani za kidini na kijadi mwanamke ni kiumbe dhaifu. Hivyo kujinasibisha na mama ni kujinasibisha na udhaifu.
2: Kiasili Baba inawakilisha majukumu, ukakamavu kukomaa. Na mama inawakilisha kuletewa, kufanyiwa hata Ukifanya wewe unafanya kidogo sio mambo makubwa. Ni vigumu kummotivate mtu Kwa kutumia mama.
3: Wakati mwingi tumeaminishwa mama ni kitu Duni. Naamini sio Tanzania ni Hadi ulaya Kiasili.
Ndio maana tunamisemo kama.
"LELE MAMA"
"MTOTO WA MAMA"
"MAMBO YA KIKEKIKE"
Nini maoni yako.
URUSI NCHI YAO INATAMBULIWA KAMA FATHERLAND SIO MOTHERLAND
en.m.wikipedia.org
Sijui chanzo cha sisi Watanzania kujiita MAMA TANZANIA au MOTHER LAND BADALA YA FATHER LAND
Tumuige Putin kuiita nchi yetu BABA TANZANIA. AU TUTUMIE NENO FATHERLAND BADALA YA MOTHERLAND.
SABABU ZANGU
1: Mama ni mwanamke, na kimaandiko ya Imani za kidini na kijadi mwanamke ni kiumbe dhaifu. Hivyo kujinasibisha na mama ni kujinasibisha na udhaifu.
2: Kiasili Baba inawakilisha majukumu, ukakamavu kukomaa. Na mama inawakilisha kuletewa, kufanyiwa hata Ukifanya wewe unafanya kidogo sio mambo makubwa. Ni vigumu kummotivate mtu Kwa kutumia mama.
3: Wakati mwingi tumeaminishwa mama ni kitu Duni. Naamini sio Tanzania ni Hadi ulaya Kiasili.
Ndio maana tunamisemo kama.
"LELE MAMA"
"MTOTO WA MAMA"
"MAMBO YA KIKEKIKE"
Nini maoni yako.
URUSI NCHI YAO INATAMBULIWA KAMA FATHERLAND SIO MOTHERLAND