Chunguza kama bolti zake ziko fit chukua jumla, maana jeshini walegezaji bolti ni wengi kutegemea na cheo alichonacho huyo mpenzio.
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Muowe tu baba, afu hakikisha unatumia silaha yako vizuri, ili akiwa anamka asubuhi anakupigia salute kama umempatia vizuri usiku wakuamkia asubuhi hio.Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
''...mke wangu mwanajeshi, jaman nafua nguo...'' tehe tehe tehe tehe.
Askari jeshi si ni mwanamke kama wengine ..we kama umempenda oa tu
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Ni mwanamke sawa....tena huyu ni mzuri ajabu. Tatizo kuna mambo mengi sana yanazungumzwa kuhusu hawa watu, kuanzia huko depo hadi kempu.
sasa ndo najiuliza.
Nitajuaje ipi ni mbaya na ipi ni nzuri kwa sababu ile ninayoweza kudhani ni mbaya mara nyingi huongelea mazuri na ile ninayoweza kudhani ni nzuri mara nyingi huongelea mabaya.chuja kwa makini hizi comment,kuna sumu nyingi humu zinaweza kusambaratisha hilo penzi lako na mjedawako!
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.