richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,023
Kwa sasa sihitaji pesa zake maana tangu nioe hajanipa chochote, ila anasumbua kwamba nilimpotezea wakati alijua mimi ndie nitakuwa mume wakeMkuu unataka ushauri mpaka kwenye vitu vidogo kama hivi?
Hebu kua na msimamo.
Je siku akiwa hana pesa utaendelea kumpenda?
Unamtaka yeye ama unataka pesa zake?
HahahaaaUlioa ili iwaje?
Kuna watu mnapenda matatizo, si nilishawaambia "MSIOE" Baki na ubishi wako.
#YNWA
Mr maini kwenye uBora wakooUlioa ili iwaje?
Kuna watu mnapenda matatizo, si nilishawaambia "MSIOE" Baki na ubishi wako.
#YNWA
Taasisi ya ndoa inazidi kuoza.Poleni na majukumu,
Umri wangu ni miaka 32, hapo nyuma nikiwa na miaka 27 nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke anayenizidi umri kwa miaka 7,ana mtoto mmoja ana kazi yake hivyo alikuwa akinipa vihela vidogovidogo na ndicho nilichompendea.
Nilipofika miaka 28 nikaanza kupata ushawishi wa kuoa kutoka kwa wazazi wangu, kwa kuwa nilikuwa nampenda huyo mwanamke niliwaeleza kila kitu kumuhusu.
Wakashauri nitafute mwanamke ambaye ni mdogo kwangu hata kama ananizidi isizidi miaka 2. Nami nikaanza kutafuta polepole nikampata ninayemzidi umri na miaka 30 nikaoa, sasa nina mtoto mmoja na mke wangu. Vitu vyote hivi nilifanya bila kumshirikisha mpenzi wangu mpaka nafunga ndoa kwa sababu nilijua nikimwambia ataumia sana alikuwa ananipenda mno.
Siku ya Harusi nilipost picha mtandaoni akaziona (Tunaishi mikoa tofauti) kwa kweli aliumia sana, baada ya siku kadhaa akaniambia hata kama nilikuwa simtaki ningemwambia yeye asingenikataza kuoa mke ninayemtaka alilia sana kwenye simu.
Sasa ananilaumu nimemharibia future yake alikuwa anawakataa wanaume kwa ajili yangu. Alikuwa na mpango wa kuongeza watoto alikuwa amesubiri nimuoe ili azae nami.
Anataka nimuoe awe mke wa pili hata kama kwa siri mke wangu asijue. Anasema hawezi kuishi bila mimi, nifanyaje naombeni ushauri wenu.
Poleni na majukumu,
Umri wangu ni miaka 32, hapo nyuma nikiwa na miaka 27 nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke anayenizidi umri kwa miaka 7,ana mtoto mmoja ana kazi yake hivyo alikuwa akinipa vihela vidogovidogo na ndicho nilichompendea.
Nilipofika miaka 28 nikaanza kupata ushawishi wa kuoa kutoka kwa wazazi wangu, kwa kuwa nilikuwa nampenda huyo mwanamke niliwaeleza kila kitu kumuhusu.
Wakashauri nitafute mwanamke ambaye ni mdogo kwangu hata kama ananizidi isizidi miaka 2. Nami nikaanza kutafuta polepole nikampata ninayemzidi umri na miaka 30 nikaoa, sasa nina mtoto mmoja na mke wangu. Vitu vyote hivi nilifanya bila kumshirikisha mpenzi wangu mpaka nafunga ndoa kwa sababu nilijua nikimwambia ataumia sana alikuwa ananipenda mno.
Siku ya Harusi nilipost picha mtandaoni akaziona (Tunaishi mikoa tofauti) kwa kweli aliumia sana, baada ya siku kadhaa akaniambia hata kama nilikuwa simtaki ningemwambia yeye asingenikataza kuoa mke ninayemtaka alilia sana kwenye simu.
Sasa ananilaumu nimemharibia future yake alikuwa anawakataa wanaume kwa ajili yangu. Alikuwa na mpango wa kuongeza watoto alikuwa amesubiri nimuoe ili azae nami.
Anataka nimuoe awe mke wa pili hata kama kwa siri mke wangu asijue. Anasema hawezi kuishi bila mimi, nifanyaje naombeni ushauri wenu.
Kama n Muslim oa mke wa pili, roho yake itulie mpe na zawadi ya watotoPoleni na majukumu,
Umri wangu ni miaka 32, hapo nyuma nikiwa na miaka 27 nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke anayenizidi umri kwa miaka 7,ana mtoto mmoja ana kazi yake hivyo alikuwa akinipa vihela vidogovidogo na ndicho nilichompendea.
Nilipofika miaka 28 nikaanza kupata ushawishi wa kuoa kutoka kwa wazazi wangu, kwa kuwa nilikuwa nampenda huyo mwanamke niliwaeleza kila kitu kumuhusu.
Wakashauri nitafute mwanamke ambaye ni mdogo kwangu hata kama ananizidi isizidi miaka 2. Nami nikaanza kutafuta polepole nikampata ninayemzidi umri na miaka 30 nikaoa, sasa nina mtoto mmoja na mke wangu. Vitu vyote hivi nilifanya bila kumshirikisha mpenzi wangu mpaka nafunga ndoa kwa sababu nilijua nikimwambia ataumia sana alikuwa ananipenda mno.
Siku ya Harusi nilipost picha mtandaoni akaziona (Tunaishi mikoa tofauti) kwa kweli aliumia sana, baada ya siku kadhaa akaniambia hata kama nilikuwa simtaki ningemwambia yeye asingenikataza kuoa mke ninayemtaka alilia sana kwenye simu.
Sasa ananilaumu nimemharibia future yake alikuwa anawakataa wanaume kwa ajili yangu. Alikuwa na mpango wa kuongeza watoto alikuwa amesubiri nimuoe ili azae nami.
Anataka nimuoe awe mke wa pili hata kama kwa siri mke wangu asijue. Anasema hawezi kuishi bila mimi, nifanyaje naombeni ushauri wenu.
Me naona utulie tu na ndoa yako.... Kweny maisha kila kuumizwa kupo mwambie atafute mtu mwingine aolewe kwani we ujawai kuachwa na alokuacha akaenda kuolewa kwingine....... Yani kila mtu kuna sehem lazima atapitishwa kwa hyo yeye kapitishwa kweny maumivu na ww kweny heriPoleni na majukumu,
Umri wangu ni miaka 32, hapo nyuma nikiwa na miaka 27 nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke anayenizidi umri kwa miaka 7,ana mtoto mmoja ana kazi yake hivyo alikuwa akinipa vihela vidogovidogo na ndicho nilichompendea.
Nilipofika miaka 28 nikaanza kupata ushawishi wa kuoa kutoka kwa wazazi wangu, kwa kuwa nilikuwa nampenda huyo mwanamke niliwaeleza kila kitu kumuhusu.
Wakashauri nitafute mwanamke ambaye ni mdogo kwangu hata kama ananizidi isizidi miaka 2. Nami nikaanza kutafuta polepole nikampata ninayemzidi umri na miaka 30 nikaoa, sasa nina mtoto mmoja na mke wangu. Vitu vyote hivi nilifanya bila kumshirikisha mpenzi wangu mpaka nafunga ndoa kwa sababu nilijua nikimwambia ataumia sana alikuwa ananipenda mno.
Siku ya Harusi nilipost picha mtandaoni akaziona (Tunaishi mikoa tofauti) kwa kweli aliumia sana, baada ya siku kadhaa akaniambia hata kama nilikuwa simtaki ningemwambia yeye asingenikataza kuoa mke ninayemtaka alilia sana kwenye simu.
Sasa ananilaumu nimemharibia future yake alikuwa anawakataa wanaume kwa ajili yangu. Alikuwa na mpango wa kuongeza watoto alikuwa amesubiri nimuoe ili azae nami.
Anataka nimuoe awe mke wa pili hata kama kwa siri mke wangu asijue. Anasema hawezi kuishi bila mimi, nifanyaje naombeni ushauri wenu.
Ukitaka kumuowa muowe tu kwa sababu mnapendana ila usifanye siri kwa mkeo wa kwanza....HAKUNA SIRI katika ndoa mkuu.Poleni na majukumu,
Umri wangu ni miaka 32, hapo nyuma nikiwa na miaka 27 nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke anayenizidi umri kwa miaka 7,ana mtoto mmoja ana kazi yake hivyo alikuwa akinipa vihela vidogovidogo na ndicho nilichompendea.
Nilipofika miaka 28 nikaanza kupata ushawishi wa kuoa kutoka kwa wazazi wangu, kwa kuwa nilikuwa nampenda huyo mwanamke niliwaeleza kila kitu kumuhusu.
Wakashauri nitafute mwanamke ambaye ni mdogo kwangu hata kama ananizidi isizidi miaka 2. Nami nikaanza kutafuta polepole nikampata ninayemzidi umri na miaka 30 nikaoa, sasa nina mtoto mmoja na mke wangu. Vitu vyote hivi nilifanya bila kumshirikisha mpenzi wangu mpaka nafunga ndoa kwa sababu nilijua nikimwambia ataumia sana alikuwa ananipenda mno.
Siku ya Harusi nilipost picha mtandaoni akaziona (Tunaishi mikoa tofauti) kwa kweli aliumia sana, baada ya siku kadhaa akaniambia hata kama nilikuwa simtaki ningemwambia yeye asingenikataza kuoa mke ninayemtaka alilia sana kwenye simu.
Sasa ananilaumu nimemharibia future yake alikuwa anawakataa wanaume kwa ajili yangu. Alikuwa na mpango wa kuongeza watoto alikuwa amesubiri nimuoe ili azae nami.
Anataka nimuoe awe mke wa pili hata kama kwa siri mke wangu asijue. Anasema hawezi kuishi bila mimi, nifanyaje naombeni ushauri wenu.