Nimepewa siri nashindwa kuitunza (roho inauma)

Kitanda hakizai haramu. Kwahiyo mwenye mtoto asione kama mtoto kafanana na jirani wewe ndio ukaona. Acheni kimbelembele kuongeza watoto wa mitaani.
 
Mimi ningesema, lazima tukabiliane na ukweli hata kama mchungu. Huu us,enge wa kulea mtoto wa mwingine sitaki kabisa .
 
Msimulie kama ulivyosimulia hapa namna taarifa ilivyo kufikia wewe,.. Usionyeshe kama unayaamini hayo uloambiwa, halafu umwachie mwenyewe afanye utafiti,... Ila mlinde aliyekuambia.
 
Na kitanda hakizai kharamu.
Achimbe shimo aongee umbea akimaliza alifukie.
Halafu mtoto wa miezi 10 huwezi mfananisha bado na mtu mzima, sura za watoto wadogo huwa bado zabadilika badilika
 
Mambo ya kawaida tu hayo chamsingi mshikaji hajui..
 
Mtoa mada we kausha tu,,

Vp huyu shem wako si ndo yule aliyetuma uchi kwa whatsup? [emoji3]
 
Anzisha mazungumzo afu mwambie HV ikitokea ukaambiwaa mtoto unaemlee cyo wako utachukua hatua gani ..
 
Mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…