Nimepiga punyeto asilimia 75 % ya umri wangu sasa namashaka na sperm zangu

Azingatie huu ushauri... azingatie kula tende pia mayai ya kuchemsha kila asubuh.
Unajua hata sehemu kukiwa na joto Sana mbegu zinaweza poteza ubora wake.
Na mengi ya kuongezea Ila ngoja nimkalibishe ndugu yetu Gily Gru atakuja kukupa madini na nondo zitakazo kusaidia.

Usiache kuja kutupa mrejesho.
 
Tafuta hausigeli upige utakuja kunishukuru ...hausigeli asipobeba nenda hospitali sasa ukapime sperm mortility
 
Kwahiyo umri huo wa miaka 42 bado huna mke wala mtoto?
Acha maisha ya kisela.
Punyeto kiafya haina tatizo, kisaikolojia na kiroho ndio Ina tatizo. Maana punyeto ni ibada kwakuwa ina meditation ndani yake
 
Nimejaribu kuvizia siku zao za hatari na wanakubali kabisa kunibebea ujauzito ila hakuna kitu kinatunga kabisa ndo maana napata mashaka sana
Tembea na mwanafunzi.

Nakuhakikishia mimba hii hapa.

Na segerea unaiona ile paleee👉

Kama unadhani sperm zako hazitungishi mimba tembea na mwanafunzi.
 
Vizia mwanamke akiwa danger days then piga hakika lazima apate mimba, jiamini acha kuwa na hofu
 
Hii ina impact gani kwenye vita inayoendelea Mashariki na kaskazini mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…