Nimepiga punyeto asilimia 75 % ya umri wangu sasa namashaka na sperm zangu

Welcome to reality
 
Ahakikishe uzito wake unaendana na afya. Pili ale vyakula vya mboga mboga za majani, matunda, samaki na kuku, aina za nuts kama karanga, korosho

Kuna mchanganyiko huu afanye
1. Maziwa mtindi
2. Karanga
3. Tende, unaweka punje mbili au tatu, unatoa mbegu zake

Blend, kwa ajili ya smooth. Unakunyw mara kwa mara ilinisaidia sana
 
Umenena vyema Ila ungemuuliza kipato chake maana kula samaki na kuku kwa kipato cha 4 kwa siku ni kutafuta lawama mkuu
 
Siyo Sperm kapime ubongo.
 
Ebu nijuze kiroho ikoje
Punyeto ili uipige na upate matokeo (kumwaga) lazima uvute taswira. Yaani unafanya meditation, pale unapofanya meditation mademu ya kipepo unayafungulia mlango yaje kuzini na wewe.
Mapepo hayo huondoka mara tu ibada yako ya kupiga punyeto inapoisha ila wengine huweka makazi ndani yako . Mmoja akifanikiwa kuweka makazi ndani yako ndipo maisha yako ndo basi tena yanatiwa doa. Mikwamo inaanza na mbinguni huenda usiende. Utaingiaje mbinguni mtu mwenye pepo mchafu?
 
Sasa mkuu kuna mwanangu mmoja alinambia amepiga punyeto yangu ana miaka 13 mpaka sasa ana miaka 25 it means ni 12 years kuna kitu alinambia Kila akijaribu ku
tongoza demu anakatiliwa Yan unakuta hata hajawakosea kitu jamaa ni smart, ana elimu ana hela kiasi kwao wapo vZuri lakini mademu wanamukataa Sasa atakuwa na Tatzo ra kiroho anaweza kachukua Namba Leo kesho kupiga anakuta imeblockiwa wala hajawakosea
 
Punyeto haina madhara. Na wala usiwe na wasiwasi as mboo inasimama be happy. Nilianza mimi nikiwa na miaka 17 nimeenda almost hadi 30 yrs. Sasa nina watoto 5. Kwa mke wangu 2, michepuko 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…