Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 248
At least PM hakikataa kuna uongozi mshitaki..., haya sio mambo ya kuanika hadharaniNingelipeleka wapi? Jukwaa la siasa?
Kuna jamaa punga humu JF amekuwa akinisumbua sana kuwa anataka nimhemee, anasema amenifia ile kiroho mbaya kwa kuwa nina jina la kiporipori. Ameniambia atanifundisha namna ya kumuingilia kinyume , na nitaenjoy kuliko ninavyopata raha kwa mwanamke wangu.
My take, ndugu, sipendi kukutaja kwa jina, nimeandika hapa ili ujue kuwa ninakerwa na uchafu wako.
Pia wana JF naomba kwa nguvu zote tuukemee ujinga huu
Kumbe ndani ya JF watu wanatongozana kiukwelukweli, mimi navyoonaga wanaitana cousin mara sijuhi nini, mimi nilijua ni utani kumbe ni vya ukweli aisee,
Modes wafatilie hichi kisa kinaifanya JF idharaulike, kwanza ningekuwa mimi ndio nimetongozwa ningebadili na ID kabisa kwa vile tayari nimeshatiwa nuksi nahitaji kuoga na maji ya baraka na kufunga kwa novena ya siku 9 bila kuzungumza na mtu yeyote, yaani ni kusali na kuimba tu kwa Mungu anisafishe na hiyo nuksi