Nimepigwa Tongozo

Hahahahahahahaha, idadi ya wanaume inazidi kupungua, kama wengi wameamua kuwa wadada sijui wanawake watasitiriwa na nani
 
Angalia ukienda usije ukageuzwa wewe
 

we mbona jina lako linabadilikabadilika kama kinyonga? Angalia kwa umakini mara nguli mara nguli jabali..mods ndo ninh hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…