Nimepima BP ni 180/108 naombeni ushauri ndugu zangu

Nimepima BP ni 180/108 naombeni ushauri ndugu zangu

Leo Asubuhi

Member
Joined
Apr 5, 2017
Posts
64
Reaction score
43
Habari zenu wapendwa, kwa wiki moja mfululizo mwili hauko vizuri, nimepima malaria ,choo,mkojo, nk sijakutwa na kitu! Daktari akasema inawezekana ni hiyo BP akanipa dawa! Akashauri nipunguze uziko kutoka hizi 116 nilizonazo mpaka angalau 85, naomba mnisaidie mpangilio mzuri wa Lishe ili nifikie malengo, umri wangu ni 33,urefu 166Cm. Pia nauliza, nikifanikiwa kupunguza uzito na kuzingatia Lishe BP itashuka yenyewe na nitaacha dawa? Ahsanten
 
Punguza vyakula vya wanga na nyama, ongeza mboga na maharage. Maji litre 1.5-2 kila siku
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Nj
Habari zenu wapendwa, kwa wiki moja mfululizo mwili hauko vizuri, nimepima malaria ,choo,mkojo, nk sijakutwa na kitu! Daktari akasema inawezekana ni hiyo BP akanipa dawa! Akashauri nipunguze uziko kutoka hizi 116 nilizonazo mpaka angalau 85, naomba mnisaidie mpangilio mzuri wa Lishe ili nifikie malengo, umri wangu ni 33,urefu 166Cm. Pia nauliza, nikifanikiwa kupunguza uzito na kuzingatia Lishe BP itashuka yenyewe na nitaacha dawa? Ahsanten
Nenda hospital ukafanyiwe vipimo zaid
 
Ilikuwaje ulipimwa baada ya muda gani , kwa kawaida MTU anatakiwa apimwe BP baada ya kupumzika kwa takribana dakika 8 had I 10 na endapo kipimo cha kwanza kikaonyesha ni zaidi ya 140 au ni sawana hiyo na kipimo cha chinikikasoma 90 mm of Hg basis kwa MTU huyu atatakiwa kwenda kwa Dr ili apate kuchunguzwa zaidi na kupata maelezomya vipi atadumu na hiyo presha yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwaje ulipimwa baada ya muda gani , kwa kawaida MTU anatakiwa apimwe BP baada ya kupumzika kwa takribana dakika 8 had I 10 na endapo kipimo cha kwanza kikaonyesha ni zaidi ya 140 au ni sawana hiyo na kipimo cha chinikikasoma 90 mm of Hg basis kwa MTU huyu atatakiwa kwenda kwa Dr ili apate kuchunguzwa zaidi na kupata maelezomya vipi atadumu na hiyo presha yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipumzika nusu saa
 
Habari zenu wapendwa, kwa wiki moja mfululizo mwili hauko vizuri, nimepima malaria ,choo,mkojo, nk sijakutwa na kitu! Daktari akasema inawezekana ni hiyo BP akanipa dawa! Akashauri nipunguze uziko kutoka hizi 116 nilizonazo mpaka angalau 85, naomba mnisaidie mpangilio mzuri wa Lishe ili nifikie malengo, umri wangu ni 33,urefu 166Cm. Pia nauliza, nikifanikiwa kupunguza uzito na kuzingatia Lishe BP itashuka yenyewe na nitaacha dawa? Ahsanten
Pole sana, kiukweli hapo uzito ndo mchawi mkubwa, Kwa uzito ulionao na urefu unatakiwa uwe na kilo atleast 66-70. Hapo ni kubadilisha zaidi mtindo wa maisha, kama unatumia vilevi acha,pendelea zaidi mbogamboga na matunda,kula mlo kamili lakini wenye virutubisho vyote(healthy balanced diet) hakikisha makundi yote ya chakula yapo, achana na junks foods(chips,burger,juice za viwandani n.k),fanya mazoezi angalau hata ya kutembea angalau dk 30 kila siku. Kunywa maji ya kutosha kulingana na uzito wako. Kwa Uzito ulionao atleast 4.5litres.

Ndiyo,ukifanikiwa kupunguza uzito kwa kiasi kikubwa utakuwa umetibu shida hiyo na pengine ikapotea kabisa,labda kuwe na sababu nyingine za presha kupanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki nashauri upige mazoezi. Ruka kamba, kimbia, fanya kazi, toka jasho, epuka vyakula vyenye mafuta mengi, punguza chumvi, kula mboga mboga sana! Pole, u gonna be ok.

NB: Usipoona check me!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakusaidia kama unakumywa in place of sugary drinks

Ila kunywa maji ni dawa ya pressure kushuka ndo maana pressure ikishuka ukaenda hospital
Unawekewa drip ya maji

Hii drip ya maji imekaaje? D5? D10? RL? NS? DNS? au Pure water?
 
Pole sana, kiukweli hapo uzito ndo mchawi mkubwa, Kwa uzito ulionao na urefu unatakiwa uwe na kilo atleast 66-70. Hapo ni kubadilisha zaidi mtindo wa maisha, kama unatumia vilevi acha,pendelea zaidi mbogamboga na matunda,kula mlo kamili lakini wenye virutubisho vyote(healthy balanced diet) hakikisha makundi yote ya chakula yapo, achana na junks foods(chips,burger,juice za viwandani n.k),fanya mazoezi angalau hata ya kutembea angalau dk 30 kila siku. Kunywa maji ya kutosha kulingana na uzito wako. Kwa Uzito ulionao atleast 4.5litres.

Ndiyo,ukifanikiwa kupunguza uzito kwa kiasi kikubwa utakuwa umetibu shida hiyo na pengine ikapotea kabisa,labda kuwe na sababu nyingine za presha kupanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelezea vyema Hope nami utanisaidia

Mie nahitaji tu elimu ya kusoma vipimo vya BP. Je BP ya kawaida huwa ngapi kwa ngapi, BP kupanda huanzia ngapi? Na kushuka je?

Nitashukuru ukinisaidia.
 
Usijisumbue na kujipangia vyakula, Vyakula havikondeshi Mtu na Ndiyomana sisi Waislamu tunafunga Mwezi Mzima wa Ramadhani na Hatukondi

Jambo pekee linaloweza kukupunguzia Uzito na kukueka vizuri kiafya ni Mazoezi tu.

Piga Mazoezi mara moja tu kwa siku aidha asubuhi au jioni nakuhakikishia utakuwa vizuri ndani ya mwezi mmoja tu.

Mazoezi ya kukimbia na viungo ni tiba sahihi ya Kupunguza uzito.

Ukifanya Mazoezi vizuri basi vyakula vyote utakula bila ya kuacha na utakuwa vizuri.

Lakini kama hufanyi mazoezi basi endelea kujinyima kama Madaktari uchwara wanavyokushauri ukiamini kuwa utapungua uzito.

Kwanza ukifanya Mazoezi hata Lita 3.5 kwasiku utakunwya.

Mimi napiga Litre 4 kwa Siku na nimebalance kilo 73 tokea 2014 mpaka leo hazizidi wala hazipungui na ninakula vyakula vyote bila ya kujiekea Miko.
 
Umeelezea vyema Hope nami utanisaidia

Mie nahitaji tu elimu ya kusoma vipimo vya BP. Je BP ya kawaida huwa ngapi kwa ngapi, BP kupanda huanzia ngapi? Na kushuka je?

Nitashukuru ukinisaidia.
Normal BP ni 120/80 ,lakini normal pia inategemeana na umri na hali ya mtu ilivyo,mfano mzee akiwa hata na 130 or 140 Kwa 100 -110 huwa inahesabika normal, wakati mwingine 100/70-50 huwa wanahesabu normal kutegemeana na hali ya mgonjwa,ila kikubwa pia huangaliwa mapigo ya moyo yanahesabika vipi kwa dakika moja,Hili ni muhimu sana kujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Normal BP ni 120/80 ,lakini normal pia inategemeana na umri na hali ya mtu ilivyo,mfano mzee akiwa hata na 130 or 140 Kwa 100 -110 huwa inahesabika normal, wakati mwingine 100/70-50 huwa wanahesabu normal kutegemeana na hali ya mgonjwa,ila kikubwa pia huangaliwa mapigo ya moyo yanahesabika vipi kwa dakika moja,Hili ni muhimu sana kujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mpendwa atleast nimefahamu hilo kwamba mara nyingi inategemea umrina uzito wa muhusika.
 
Back
Top Bottom