Nimepima HIV leo Nina furaha isiyo kifani

DCI Comrade One

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
557
Reaction score
718
Wakuuu kumbe haya Mambo yanawezekana....leo niluvyoamka sikutaka chochote zaidi ya kupima...Nashukuru sijaathirika....
 
Karibu kwenye CHAMA aisee.. hata mimi nilishawahi pima miaka kama kumi nyuma. Sasa mwezi mmoja uliopita nikapata ka Ness fulani. Kakakomaa tupime lakini nilikuwa napiga kavu bila kupima.. ukweli siku niliyoamua kupima nilihisi kuugua ghafla na kuhara juu..
Nilichofanya nikaenda maabara nikaacha damu na namba ya siku.
Sikuaamini nilipoambiwa sina maambuzi. Maana Mara ya mwisho waliniambia majibu yangu hayasomi kwa hiyo hawajui kama nimeathirika au hapana.
Kumbuka nahisi idadi kama ni ndogo basi nimepita na sabini na kati ya hao hawafiki ishirini niliyotumia kondomu... hongera na karibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…