johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mchungaji Msigwa alikuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA kwa Miaka zaidi ya 10 hivyo ni Wazi anajua Uovu mwingi wa Chama hicho na mapolisi na Wananchi watamuamini tu.
Komredi Makalla alitumia akili kubwa kumvuna mchungaji Msigwa Kutoka CHADEMA kwa wakati sahihi kabisa kwa sababu ataeleza Siri zote za CHADEMA kutokana na hasira za Kushindwa Uchaguzi wa Nyasa Kwa kura moja tu.
Unaweza kukuta Mpango wa kuteka Vituo vya Polisi ulifanyika wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mjumbe wa Kamati Kuu.
Ikumbukwe tu Yuda Iskarioti alinunuliwa na Kaisari Ili awape Siri za Yesu wa Nazareth kwa sababu ni nduguye hivyo anamjua kuliko wale Wafuasi 11 waliobaki.
Soma Pia: Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Mchungaji Msigwa anamwaga Ugali na Mboga kitakachobaki ni 🔥 tu
Jumaa Mubarak 😃
Komredi Makalla alitumia akili kubwa kumvuna mchungaji Msigwa Kutoka CHADEMA kwa wakati sahihi kabisa kwa sababu ataeleza Siri zote za CHADEMA kutokana na hasira za Kushindwa Uchaguzi wa Nyasa Kwa kura moja tu.
Unaweza kukuta Mpango wa kuteka Vituo vya Polisi ulifanyika wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mjumbe wa Kamati Kuu.
Ikumbukwe tu Yuda Iskarioti alinunuliwa na Kaisari Ili awape Siri za Yesu wa Nazareth kwa sababu ni nduguye hivyo anamjua kuliko wale Wafuasi 11 waliobaki.
Soma Pia: Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Mchungaji Msigwa anamwaga Ugali na Mboga kitakachobaki ni 🔥 tu
Jumaa Mubarak 😃