Nimepokea taarifa za kuhuzunisha kuhusu bondia Floyd Mayweather

Em na we kua na akili basi kidogo.. Igizo mtu achukue B' usD!!!!???
Usinidhalilishe kwamba haujui kiingereza au? Sasa rigged si ndiyo maana yake ile kitu ilikua maigizo?

Na ndo nasema inawezekana hata kwenye ufc ikawa hivyo hivyo.
 
Mwambie huyoo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sony liston vs Muhammad Ali katika pambano la pili Liston alipigwa katika raundi ya kwanza.
Hapa unamzungumzia bondia ambaye opponents walikua wanamkimbia mmoja mpaka akasema "Mimi na meneja wangu tukiwa tuko mtaani tunatembea tukimuona Liston kwa mbali tutabadilisha njia, hatutaki hata kupishana naye. Ila Ali akishinda nitaufuata mkanda kwa Ali"

Bondia anayeogopwa hivyo anapigwaje raundi ya kwanza?

Conclusion ikaja kua ile game ilikua rigged, at the moment ilikua ni game yenye mkataba mnono tu.

Haya muite huyo Data aje hapa aone
 
Ukiambiwa uthibitishe utaweza?
 
Yani we hovyo kweli...

Wewe ndo unajua boxing... Kwa comment hiyo!??
Hajielewi huyu dogo,

Hajui hata Hotton alikuwa anaogopwa lakini alipigwa K.O raundi ya kwanza na Pacquiao.
 
Yani we hovyo kweli...

Wewe ndo unajua boxing... Kwa comment hiyo!??
We hilo swali alijiuliza hadi Don King mpaka Meya enzi hizo we unapuliza jiko la kuni.

Haya nikutajie bondia mwingine ambaye kushindwa kwake game ilionekana kua rigged ingawa mpunga ulikua mrefu?
 
Wewe shabiki namba moja haujui kua jamaa alishapigana mpaka mieleka? Halafu alipigana na Big Show na akashinda, game nzima ilikua rigged.

Same shit can happen huko kwenye ufc.
mmmmh mkuu
mm mbona sikuona mechi alizoshindaga ,zaidi niliona dis tu alizokua anazitoa... mara amchonge big show(sanamu) anakipiga mangumi[emoji23] [emoji23] [emoji23]

mechi akija anakuja na security na wapambe kibao wa cash money...
 
mmmmh mkuu
mm mbona sikuona mechi alizoshindaga ,zaidi niliona dis tu alizokua anazitoa... mara amchonge big show(sanamu) anakipiga mangumi[emoji23] [emoji23] [emoji23]

mechi akija anakuja na security na wapambe kibao wa cash money...
Floyd alishinda ila yalikuwa ni maigizo.
 
Floyd mwoga wa kupigwa anajua siku ya kupoteza mechi ndio kwaheri pesa.na hivi hajaenda shule

bondia gani unacheza ngumi kiblazameni.
Eti bondia asiepigika mavii,yule anatafuta wale mabondia malooser anaangusha dau.

Baada ya hapo looser anatrainiwa jinsi ya kuachia ushindi siku ya tukio
Linalofuata ni promo na wafadhili then wanapoliwa watu ni pale pay per view.
Dunia nzima wanaolipa pv wanamchangia na kuwafurahisha anashinda tena.
Anastaafu watu wasahau, mara anaibuka tena akimpata looser mwingine anadai nimeombwa kurudi ulingoni.
Process ile ile inarudiwa.
Uzuri wale waliomzunguka wote wanapata chao na huyu looser anapata hela tena ndeefu.
Mc connor mpaka sasa huko kwao ye ndo Don ananunua mechi na anashinda zote kisha bata na mkwanja kavuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…