Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Hivi wanatibu na magonjwa ganiBila samahani,hapana bima hawatumii mkuu,pale ni cash kwa kila kitu.
Hawajui kwasababu hayajawakuta binadamu akiwa na afya anakua na kibri bila kijua hata yeye hajui kesho yakeMbona wengi mnanidhihaki jamani?
Mkuu hiyo hosp iko wapiNdiyo nilimpeleka kwa huyo mkorea tatizo likaonekana kwenye pingili za shingo na mishipa ya fahamu ndo maana akawa kama anapooza upande mmoja wa kulia.
Vyote amepona shida sasa imebaki kichwani anasikia kelele kama za mtu anapiga manyanga,hiyo nayo imekuwa ngumu kutoka kila dogo akienda clinic anaambiwa itaisha though ni gharama nakomaa nae maana kidogo kwa hawa jamaa nimeona kuna mwanga wa kupona
Mbezi kwa Msuguli,ukifika pale Msuguli ulizia ilipo hospital ya wakorea utaelekezwa siyo mbali kutoka barabara ya MorogoroMkuu hiyo hosp iko wapi
Vip ndugu Yako ameshaponaMbezi kwa Msuguli,ukifika pale Msuguli ulizia ilipo hospital ya wakorea utaelekezwa siyo mbali kutoka barabara ya Morogoro
Bado anapata matibabu pale.Vip ndugu Yako ameshapona
Hapo hapo kwa wakorea auBado anapata matibabu pale.
Vip wakorea huduma zao zikoje kunashuhuda zozote hapo kwa walioponaBado anapata matibabu pale.
Hapo hapo mkuu,Hapo hapo kwa wakorea au