Nimepotelewa na Vyeti vyangu maeneo ya Kibaha

Nimepotelewa na Vyeti vyangu maeneo ya Kibaha

NASSOR MGALA

New Member
Joined
Aug 5, 2024
Posts
2
Reaction score
3
Naitwa Nassor Khalfan Mugara nimepoteza VYETI VYANGU VYOTE vikiwa katika bahasha moja ya kaki tar 3/08/2024 Eneo la kibaha maili moja.

Kwa yeyote atakae fanikisha kupatikana kwake atapokea zawadi nono.

Nakuomba Share ujumbe huu
0752040405/ 0747898302/ 0767262929
 
Back
Top Bottom