Habari za leo wana Jamii.
Naomba msaada wako wa kunielewesha.
Gari langu lilipata ajali.kama unavojua ukipata ajali hapa Dar inakuwa dili kwa wenzetu vibaka.
Wakachukua kadi la gari.hati ya udereva na vitu vingine vingi tu.
Gari lilikuwa na hali mbaya sana ikabidi likatwe mbele na kunishauri ninunue upande wa mbele mwingine ili wafunge .na mie kweli nikafanya kama walivyonishauri mafundi.sikuwahi kuwaza kama itakuwa shida baadae.
Sasa shida inakuja Hapa nimefatilia TRA kuhusu kadi nimekwama kwenye chesis Number maana ile board walionibadilishia inasoma namba tofauti na zile za mwanzo za kwenye kadi.
Hivyo sijapewa kadi japo kuwa docs zote za manunuzi adi kuuingiza hapa na kuitoa Bandarini ninazo.
Waungwana naombeni Munisaidie nifanye nini mana nimechanganyikiwa mana nimeaambiwa hiyo ni kesi.
Na kama mujuavyo nchi hii kwa rushwa imekithili.
mama Janeth
Naomba msaada wako wa kunielewesha.
Gari langu lilipata ajali.kama unavojua ukipata ajali hapa Dar inakuwa dili kwa wenzetu vibaka.
Wakachukua kadi la gari.hati ya udereva na vitu vingine vingi tu.
Gari lilikuwa na hali mbaya sana ikabidi likatwe mbele na kunishauri ninunue upande wa mbele mwingine ili wafunge .na mie kweli nikafanya kama walivyonishauri mafundi.sikuwahi kuwaza kama itakuwa shida baadae.
Sasa shida inakuja Hapa nimefatilia TRA kuhusu kadi nimekwama kwenye chesis Number maana ile board walionibadilishia inasoma namba tofauti na zile za mwanzo za kwenye kadi.
Hivyo sijapewa kadi japo kuwa docs zote za manunuzi adi kuuingiza hapa na kuitoa Bandarini ninazo.
Waungwana naombeni Munisaidie nifanye nini mana nimechanganyikiwa mana nimeaambiwa hiyo ni kesi.
Na kama mujuavyo nchi hii kwa rushwa imekithili.
mama Janeth