Nimepoteza Loss Report ya polisi, nahofia kuchapwa makofi nikijipeleka

Nimepoteza Loss Report ya polisi, nahofia kuchapwa makofi nikijipeleka

kilambimkwidu

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
6,097
Reaction score
7,199
Nilipoteza simu na fedha maeneo ya Kimanga, nikaenda polisi kutoa taarifa ya kupotelewa, nikapewa RB na loss report. Wakati nimechukua daladala narudi kimanga pia nafika home najikuta sina ile report.
Utaratibu ukoje kwakua nahitaji sana loss report ili nika-renew line yangu. Je nikirudi tena polisi kuwaeleza sitachapwa makofi?
 
isiende maana bado kidogo utajipoteza na wewe
 
Nenda kituo kingine kachukue nyingine...halaf leo j2 umepataje loss report?
Nmepoteza tangu alhamis mkuu. Ndo nawaza namna ya kufanya hapa.

Sasa RB mbona ilishatolewa. Itakuaje nipewe RB 2, sio uhalifu?
 
Ni uharifu kisheria, ila kibongo bongo ni jambo la kawaida sana...maana akuna central system ya hizo lose reports, so ni ngumu kufahamika kiurahisi.
Nmepoteza tangu alhamis mkuu. Ndo nawaza namna ya kufanya hapa.

Sasa RB mbona ilishatolewa. Itakuaje nipewe RB 2, sio uhalifu?
 
Ni uharifu kisheria, ila kibongo bongo ni jambo la kawaida sana...maana akuna central system ya hizo lose reports, so ni ngumu kufahamika kiurahisi.
Sio kwamba taarifa hua zinasambazwa vituo vyote ili kwamba kama kuna mtu ameokota na kukabidhi polisi basi kila kituo kitajua hii mali iliripotiwa wapi.
 
Rudi pale pale acha uoga kwa RB ile ile watakuandikia duplicate. Sip wakorofi jinsi unavyojijengea amani
 
Dah majanga!
Labda uende tena ukafungue jalada lengine la malalamiko ya kupoteza lose report ya mwanzo,wakikuuliza uliza maswali waambie ulipigwa ndole kwenye daladala japo watakuona bonge la fala ila lengo lako litakuwa limeshatimia.
 
Nilipoteza simu na fedha maeneo ya Kimanga, nikaenda polisi kutoa taarifa ya kupotelewa, nikapewa RB na loss report. Wakati nimechukua daladala narudi kimanga pia nafika home najikuta sina ile report.
Utaratibu ukoje kwakua nahitaji sana loss report ili nika-renew line yangu. Je nikirudi tena polisi kuwaeleza sitachapwa makofi?
wogo huu unaligharimu taifa hili, nenda ukaripoti kuwa umepoteza leseni, full stop
 
Sio kwamba taarifa hua zinasambazwa vituo vyote ili kwamba kama kuna mtu ameokota na kukabidhi polisi basi kila kituo kitajua hii mali iliripotiwa wapi.
Ni kweli usemalo, huwa hipo hivyo lakini ni kwa vituo vya maeneo rafiki, ila pia kutokana na mali yenyewe iliyopotea.

Kikubwa we nenda tyu palepale watakupa duplic yake....acha uoga kijana.
 
Nilipoteza simu na fedha maeneo ya Kimanga, nikaenda polisi kutoa taarifa ya kupotelewa, nikapewa RB na loss report. Wakati nimechukua daladala narudi kimanga pia nafika home najikuta sina ile report.
Utaratibu ukoje kwakua nahitaji sana loss report ili nika-renew line yangu. Je nikirudi tena polisi kuwaeleza sitachapwa makofi?
Loss report unalipia, wewe ndio unakula hasara wala hawajali.
 
Dah majanga!
Labda uende tena ukafungue jalada lengine la malalamiko ya kupoteza lose report ya mwanzo,wakikuuliza uliza maswali waambie ulipigwa ndole kwenye daladala japo watakuona bonge la fala ila lengo lako litakuwa limeshatimia.
Yan hapo ndo pananipa wasiwasi, na bora wanione fala tu ila kwa akili za polisi wa wanaweza hata kukutupa lockup ushike adabu kwanza afu ndo wakusikilize
 
Back
Top Bottom